Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Kumbukumbu la Torati

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Kuondoka kwenye Mulima Horebu (1-8)

    • Wakubwa na waamuzi wanawekwa (9-18)

    • Watu wanakosa kutii kule Kadesh-barnea (19-46)

      • Israeli anakataa kuingia katika ile inchi (26-33)

      • Hawaweze kukamata Kanaani (41-46)

  • 2

    • Kutanga-tanga katika jangwa kwa miaka makumi tatu na munane (1-23)

    • Ushindi juu ya Mufalme Sihoni wa Heshboni (24-37)

  • 3

    • Ushindi juu ya Mufalme Ogu wa Bashani (1-7)

    • Kugawanya inchi upande wa mashariki wa Yordani (8-20)

    • Yoshua anaambiwa asiogope (21, 22)

    • Musa hataingia katika inchi hiyo (23-29)

  • 4

    • Wanaambiwa watii (1-14)

      • Usisahau matendo ya Mungu (9)

    • Yehova anataka watu washikamane na yeye tu (15-31)

    • Hakuna Mungu mwingine isipokuwa Yehova (32-40)

    • Miji ya makimbilio upande wa mashariki wa Yordani (41-43)

    • Wanapewa Sheria (44-49)

  • 5

    • Agano la Yehova kule Horebu (1-5)

    • Amri Kumi zinarudiliwa (6-22)

    • Watu wanaogopa kwenye Mulima Sinai (23-33)

  • 6

    • Umupende Yehova kwa moyo wako wote (1-9)

      • “Sikiliza, Ee Israeli” (4)

      • Wazazi wanapaswa kufundisha watoto (6, 7)

    • Usimusahau Yehova (10-15)

    • Musimujaribu Yehova (16-19)

    • Ambia kizazi chenye kufuata (20-25)

  • 7

    • Mataifa saba yenye yanapaswa kuharibiwa (1-6)

    • Sababu gani Israeli alichaguliwa (7-11)

    • Utii utawaletea matokeo ya muzuri wakati wenye kuja (12-26)

  • 8

    • Baraka kutoka kwa Yehova zinatajwa tena (1-9)

      • “Haishi kwa mukate tu” (3)

    • Usimusahau Yehova (10-20)

  • 9

    • Sababu gani Israeli alipewa ile inchi (1-6)

    • Israeli wanamukasirisha Yehova mara ine (7-29)

      • Kitoto-dume cha ngombe cha zahabu (7-14)

      • Musa anamulilia Mungu (15-21, 25-29)

      • Wanamukasirisha mara tatu zaidi (22)

  • 10

    • Mabamba mbili yanatengenezwa tena (1-11)

    • Mambo yenye Yehova anataka (12-22)

      • Umuogope na umupende Yehova (12)

  • 11

    • Mumeona ukubwa wa Yehova (1-7)

    • Inchi Yenye Iliahidiwa (8-12)

    • Zawabu za kutii (13-17)

    • Maneno ya Mungu yakaziwe katika mioyo (18-25)

    • “Baraka na laana” (26-32)

  • 12

    • Muabudu mahali kwenye Mungu anachagua (1-14)

    • Wanaruhusiwa kula nyama lakini hapana damu (15-28)

    • Usinaswe katika mutego wa miungu mingine (29-32)

  • 13

    • Namna ya kutendea waasi-imani (1-18)

  • 14

    • Njia zenye hazifae za kuomboleza (1, 2)

    • Vyakula vyenye kuwa safi na vyenye haviko safi (3-21)

    • Sehemu moja ya kumi kwa ajili ya Yehova (22-29)

  • 15

    • Madeni yanaachiliwa kila mwaka wa saba (1-6)

    • Kusaidia maskini (7-11)

    • Kuachilia huru watumwa kila mwaka wa saba (12-18)

      • Kutoboa sikio la mutumwa kwa musumari (16, 17)

    • Wazaliwa wa kwanza wa wanyama wanatakaswa (19-23)

  • 16

    • Pasaka; Sikukuu ya Mikate Yenye Haina Chachu (1-8)

    • Sikukuu ya Majuma (9-12)

    • Sikukuu ya Vibanda (13-17)

    • Kuweka waamuzi (18-20)

    • Vitu vya ibada vyenye kukatazwa (21, 22)

  • 17

    • Zabihu hazipaswe kuwa na kasoro (1)

    • Kushugulikia mambo ya uasi-imani (2-7)

    • Kuamua mambo yenye kuwa nguvu (8-13)

    • Maagizo kwa ajili ya mufalme mwenye atatawala (14-20)

      • Mufalme anapaswa kuandika kopi ya Sheria (18)

  • 18

    • Fungu la makuhani na Walawi (1-8)

    • Mazoea ya kupashana habari na pepo wachafu yanakatazwa (9-14)

    • Nabii kama Musa (15-19)

    • Namna ya kutambua manabii wa uongo (20-22)

  • 19

    • Hatia ya damu na miji ya makimbilio (1-13)

    • Alama za mipaka hazipaswe kuhamishwa (14)

    • Mashahidi katika tribinali (15-21)

      • Mashahidi wawili ao watatu wanahitajiwa (15)

  • 20

    • Sheria za vita (1-20)

      • Wale wenye hawakuruhusiwa kuenda katika vita (5-9)

  • 21

    • Mauaji yenye yalifanywa na watu wenye hawajulikane (1-9)

    • Kuoa wanamuke wenye walikamatwa mateka (10-14)

    • Haki ya muzaliwa wa kwanza (15-17)

    • Mwana mwenye iko kichwa-nguvu (18-21)

    • Mutu mwenye alitundikwa kwenye muti amelaaniwa (22, 23)

  • 22

    • Kuheshimia wanyama wa majirani (1-4)

    • Mwanaume kuvaa nguo za mwanamuke na mwanamuke kuvaa nguo za mwanaume (5)

    • Kutendea wanyama muzuri (6, 7)

    • Ukuta mufupi kwa ajili ya sehemu ya juu ya nyumba (8)

    • Michanganyiko yenye haifae (9-11)

    • Mafundo kwenye nguo (12)

    • Sheria kuhusu kuvunja kanuni katika mambo ya ngono (13-30)

  • 23

    • Wenye hawaruhusiwe katika kutaniko la Mungu (1-8)

    • Usafi wa kambi (9-14)

    • Watumwa wenye walikimbia (15, 16)

    • Ukahaba unakatazwa (17, 18)

    • Kulipisha faida na naziri (19-23)

    • Vitu vyenye wapita-njia wanaruhusiwa kula (24, 25)

  • 24

    • Ndoa na kuvunja ndoa (1-5)

    • Kuheshimia uzima (6-9)

    • Kuhangaikia maskini (10-18)

    • Sheria kuhusu kuokota masalio (19-22)

  • 25

    • Sheria kuhusu kumupiga mutu viboko (1-3)

    • Usimufunge kinywa ngombe-dume wakati anakanyanga-kanyanga nafaka (4)

    • Ndoa ya mutu na shemeki yake (5-10)

    • Kumukamata mutu sehemu zenye haifae kukamata wakati anapigana (11, 12)

    • Majiwe ya kupimia na vipimo vyenye kuwa sawa (13-16)

    • Waamaleki wanapaswa kuharibiwa (17-19)

  • 26

    • Kutoa matunda ya kwanza (1-11)

    • Sehemu moja ya kumi yenye ilitolewa mara ya pili (12-15)

    • Israeli ni mali ya pekee ya Yehova (16-19)

  • 27

    • Sheria itaandikwa kwenye majiwe (1-10)

    • Kwenye Mulima Ebali na Mulima Gerizimu (11-14)

    • Laana zinatangazwa (15-26)

  • 28

    • Baraka za kutii (1-14)

    • Laana za kukosa kutii (15-68)

  • 29

    • Agano pamoja na Israeli kule Moabu (1-13)

    • Onyo kuhusu kukosa kutii (14-29)

      • Mambo yenye kufichwa, mambo yenye kufunuliwa (29)

  • 30

    • Kumurudilia Yehova (1-10)

    • Amri za Yehova haziko nguvu sana (11-14)

    • Kuchagua kati ya uzima na kifo (15-20)

  • 31

    • Musa anakaribia kufa (1-8)

    • Sheria inapaswa kusomwa mbele ya watu (9-13)

    • Yoshua anawekwa katika madaraka (14, 15)

    • Uasi wa Israeli unatabiriwa (16-30)

      • Wimbo wa kufundisha Israeli (19, 22, 30)

  • 32

    • Wimbo wa Musa (1-47)

      • Yehova ni Mwamba (4)

      • Israeli anamusahau Mwamba wake (18)

      • “Kisasi ni changu” (35)

      • “Mufurahi, ninyi mataifa, pamoja na watu wake” (43)

    • Musa atakufa juu ya Mulima Nebo (48-52)

  • 33

    • Musa anabariki makabila (1-29)

      • ‘Mikono ya milele’ ya Yehova (27)

  • 34

    • Yehova anamuonyesha Musa ile inchi (1-4)

    • Kifo cha Musa (5-12)