Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Hosea

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Bibi ya Hosea na watoto wenye anazaa (1-9)

      • Yezreeli (4), Lo-ruhama (6), na (9)

    • Tumaini la kurudishwa na kuwa na umoja (10, 11)

  • 2

    • Israeli wenye kukosa uaminifu wanapewa azabu (1-13)

    • Wanamurudilia Yehova akiwa bwana yao (14-23)

      • “Utaniita bwana Yangu” (16)

  • 3

    • Hosea anamukomboa bibi yake muzinifu (1-3)

    • Israeli watamurudilia Yehova (4, 5)

  • 4

    • Kesi ya hukumu ya Yehova juu ya Israeli (1-8)

      • Hakuna ujuzi wa Mungu katika inchi (1)

    • Ibada ya sanamu ya Israeli na umalaya wake (9-19)

      • Roho ya uasherati inapoteza (12)

  • 5

    • Hukumu juu ya Efraimu na Yuda (1-15)

  • 6

    • Wanaombwa kumurudilia Yehova (1-3)

    • Upendo mushikamanifu wenye haudumu wa watu (4-6)

      • Upendo mushikamanifu ni wa muzuri kuliko zabihu (6)

    • Mwenendo wa haya wa watu (7-11)

  • 7

    • Uovu wa Efraimu unaelezwa (1-16)

      • Hakuna kuponyoka wavu wa Mungu (12)

  • 8

    • Kuvuna matokeo ya kuabudu sanamu (1-14)

      • Kupanda upepo, kuvuna zoruba (7)

      • Israeli amemusahau Mutengenezaji wake (14)

  • 9

    • Zambi za Efraimu zinafanya akataliwe na Mungu (1-17)

      • Kujitoa kwa mungu wa haya (10)

  • 10

    • Israeli, muzabibu wenye kuharibika, ataharibiwa (1-15)

  • 11

    • Upendo wa Mungu kwa Israeli tangu utoto wake (1-12)

      • “Kutoka Misri nilimuita mwana wangu” (1)

  • 12

    • Efraimu anapaswa kumurudilia Yehova (1-14)

      • Yakobo alishindana na Mungu (3)

      • Yakobo alilia ili Mungu amuonyeshe wema (4)

  • 13

    • Efraimu mwenye kuabudu sanamu anamusahau Yehova (1-16)

      • “Ee Kifo, uko wapi uwezo wako wa kuumiza?” (14)

  • 14

    • Mwito wa kumurudilia Yehova (1-3)

      • Kutoa sifa ya midomo (2)

    • Israeli ataponyeshwa ukosefu wa uaminifu (4-9)