Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Hesabu

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Wanaume wanaandikishwa kwa ajili ya jeshi (1-46)

    • Walawi hawaandikishwe kwa ajili ya jeshi (47-51)

    • Kambi inapangwa kwa utaratibu (52-54)

  • 2

    • Kambi inapangwa katika migawanyo ya makabila tatu (1-34)

      • Mugawanyo wa Yuda kuelekea upande wa mashariki (3-9)

      • Mugawanyo wa Rubeni kuelekea upande wa kusini (10-16)

      • Kambi ya Lawi katikati (17)

      • Mugawanyo wa Efraimu kuelekea upande wa mangaribi (18-24)

      • Mugawanyo wa Dani kuelekea upande wa kaskazini (25-31)

      • Hesabu ya wanaume wote wenye waliandikishwa (32-34)

  • 3

    • Wana wa Haruni (1-4)

    • Walawi wanachaguliwa ili kufanya utumishi (5-39)

    • Kukomboa wazaliwa wa kwanza (40-51)

  • 4

    • Utumishi wa Wakohati (1-20)

    • Utumishi wa Wagershoni (21-28)

    • Utumishi wa Wamerari (29-33)

    • Habari fupi kuhusu watu wenye walihesabiwa (34-49)

  • 5

    • Kuweka mbali watu wenye hawako safi (1-4)

    • Kuungama na kulipia kosa (5-10)

    • Maji yanatumiwa ili kuonyesha kama mutu alifanya uzinifu (11-31)

  • 6

    • Naziri ya Unaziri (1-21)

    • Baraka ya makuhani (22-27)

  • 7

    • Matoleo ya kuzindua tabenakulo (1-89)

  • 8

    • Haruni anawasha taa saba (1-4)

    • Walawi wanatakaswa, wanaanza utumishi wao (5-22)

    • Miaka yenye Mulawi hawezi kufanya utumishi wa Walawi (23-26)

  • 9

    • Mupango wa kufanya Pasaka kisha (1-14)

    • Wingu na moto juu ya tabenakulo (15-23)

  • 10

    • Tarumbeta za feza (1-10)

    • Kuondoka Sinai (11-13)

    • Utaratibu wa kuondoka (14-28)

    • Hobabu anaombwa aongoze Israeli (29-34)

    • Sala ya Musa wakati wa kuvunja kambi (35, 36)

  • 11

    • Moto unatoka kwa Mungu kwa sababu ya malalamiko (1-3)

    • Watu wanalia wapewe nyama (4-9)

    • Musa anajisikia kuwa hastahili (10-15)

    • Yehova anapatia roho wazee makumi saba (16-25)

    • Eldadi na Medadi; Yoshua anasikia wivu kwa ajili ya Musa (26-30)

    • Ndege kware wanatumwa; watu wanapewa azabu kwa sababu ya pupa (31-35)

  • 12

    • Miriamu na Haruni wanamupinga Musa (1-3)

      • Musa mutu mupole sana kuliko watu wote (3)

    • Yehova anamutetea Musa (4-8)

    • Miriamu anapigwa na ukoma (9-16)

  • 13

    • Wapelelezi kumi na mbili wanatumwa Kanaani (1-24)

    • Wapelelezi kumi wanaleta habari ya mubaya (25-33)

  • 14

    • Watu wanataka kurudia Misri (1-10)

      • Yoshua na Kalebu wanaleta habari ya muzuri (6-9)

    • Yehova anakasirika; Musa anamulilia (11-19)

    • Azabu: miaka makumi ine katika jangwa (20-38)

    • Waamaleki wanapata ushindi juu ya Israeli (39-45)

  • 15

    • Sheria kuhusu matoleo (1-21)

      • Sheria moja kwa ajili ya wenyeji na wakaaji wageni (15, 16)

    • Matoleo kwa ajili ya zambi zenye zilifanywa bila kukusudia (22-29)

    • Azabu kwa ajili ya zambi zenye zilifanywa kimakusudi (30, 31)

    • Mwenye alivunja Sabato anauawa (32-36)

    • Nguo zinapaswa kuwa na upindo wa nyuzi-nyuzi (37-41)

  • 16

    • Uasi wa Kora, Datani, na Abiramu (1-19)

    • Waasi wanahukumiwa (20-50)

  • 17

    • Fimbo ya Haruni yenye ilitokeza matumba inatumika kuwa alama (1-13)

  • 18

    • Kazi za makuhani na Walawi (1-7)

    • Posho za makuhani (8-19)

      • Agano la chumvi (19)

    • Walawi wanapaswa kupokea na kutoa sehemu moja ya kumi (20-32)

  • 19

    • Ngombe-dike mwekundu na maji ya kutakasa (1-22)

  • 20

    • Miriamu anakufia Kadeshi (1)

    • Musa anapiga mwamba na anatenda zambi (2-13)

    • Waedomu wanakataa kupatia Israeli njia (14-21)

    • Haruni anakufa (22-29)

  • 21

    • Mufalme wa Aradi anashindwa (1-3)

    • Nyoka wa shaba (4-9)

    • Israeli anazunguka Moabu (10-20)

    • Mufalme Sihoni wa Waamori anashindwa (21-30)

    • Mufalme Ogu wa Waamori anashindwa (31-35)

  • 22

    • Balaki anamulipa Balaamu ili alaani Israeli (1-21)

    • Punda wa Balaamu anasema (22-41)

  • 23

    • Neno la kwanza la kimezali la Balaamu (1-12)

    • Neno la pili la kimezali la Balaamu (13-30)

  • 24

    • Neno la tatu la kimezali la Balaamu (1-11)

    • Neno la ine la kimezali la Balaamu (12-25)

  • 25

    • Israeli anatenda zambi na wanamuke Wamoabu (1-5)

    • Finehasi anakamata hatua (6-18)

  • 26

    • Makabila ya Israeli yanahesabiwa mara ya pili (1-65)

  • 27

    • Watoto wanamuke wa Selofehadi (1-11)

    • Yoshua anawekwa katika madaraka ili akamate nafasi ya Musa (12-23)

  • 28

    • Utaratibu wa kutoa matoleo mbalimbali (1-31)

      • Matoleo ya kila siku (1-8)

      • Kwa ajili ya Sabato (9, 10)

      • Matoleo ya kila mwezi (11-15)

      • Kwa ajili ya Pasaka (16-25)

      • Kwa ajili ya Sikukuu ya Majuma (26-31)

  • 29

    • Utaratibu wa kutoa matoleo mbalimbali (1-40)

      • Siku ya kupiga tarumbeta (1-6)

      • Siku ya Kufunika Zambi (7-11)

      • Sikukuu ya Vibanda (12-38)

  • 30

    • Naziri za wanaume (1, 2)

    • Naziri za wanamuke na watoto wanamuke (3-16)

  • 31

    • Midiani analipizwa kisasi (1-12)

      • Balaamu anauawa (8)

    • Maagizo kuhusu vitu vyenye vinachukuliwa katika vita (13-54)

  • 32

    • Makao ya upande wa mashariki wa Yordani (1-42)

  • 33

    • Hatua za safari ya Israeli katika jangwa (1-49)

    • Maagizo kuhusu kushinda inchi ya Kanaani (50-56)

  • 34

    • Mipaka ya Kanaani (1-15)

    • Wanaume wanapewa kazi ya kugawanya inchi (16-29)

  • 35

    • Miji ya Walawi (1-8)

    • Miji ya makimbilio (9-34)

  • 36

    • Sheria kuhusu ndoa ya wariti wanamuke (1-13)