Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Habakuki

Sura

1 2 3

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Nabii analilia musaada (1-4)

      • ‘Ee Yehova, mupaka wakati gani?’ (2)

      • “Sababu gani unaachilia ukandamizaji?” (3)

    • Mungu anatumia Wakaldayo ili kutoa hukumu (5-11)

    • Nabii anamulilia Yehova (12-17)

      • ‘Mungu wangu, wewe hauwezi kufa’ (12)

      • ‘Macho yako ni safi sana, hayawezi kuendelea kuangalia ubaya’ (13)

  • 2

    • ‘Nitaendelea kuwa macho ili nione ataniambia nini’ (1)

    • Yehova anamujibu nabii (2-​20)

      • ‘Endelea kungojea maono’ (3)

      • Mwenye haki ataishi kwa uaminifu (4)

      • Ole tano kwa Wakaldayo (6-20)

        • Dunia yote itajaa ujuzi juu ya Yehova (14)

  • 3

    • Nabii anasali ili Yehova atende (1-19)

      • Mungu ataokoa watiwa-mafuta wake (13)

      • Nitafurahi katika Yehova ijapokuwa taabu (17, 18)