Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Ezra

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Mufalme Koreshi anatoa amri ya kujenga upya hekalu (1-4)

    • Watu wenye walikuwa wamepelekwa katika uhamisho wanajitayarisha kuondoka Babiloni (5-11)

  • 2

    • Majina ya watu wenye walitoka Babiloni (1-67)

      • Watumishi wa hekalu (43-54)

      • Wana wa watumishi wa Sulemani (55-57)

    • Matoleo ya kujipendea kwa ajili ya hekalu (68-70)

  • 3

    • Mazabahu inajengwa upya na zabihu zinatolewa (1-7)

    • Kazi ya kujenga upya hekalu inaanza (8, 9)

    • Musingi wa hekalu unawekwa (10-13)

  • 4

    • Kazi ya kujenga upya hekalu inapingwa (1-6)

    • Maadui wanatuma malalamiko kwa Mufalme Artashasta (7-16)

    • Artashasta anajibu (17-22)

    • Ujenzi wa hekalu unasimamishwa (23-24)

  • 5

    • Wayahudi wanaanza tena kujenga hekalu (1-5)

    • Barua yenye Tatenai alimutumia Mufalme Dario (6-17)

  • 6

    • Uchunguzi na amri ya Dario (1-12)

    • Ujenzi wa hekalu unamalizika na hekalu linazinduliwa (13-18)

    • Pasaka inafanywa (19-22)

  • 7

    • Ezra anakuja Yerusalemu (1-10)

    • Barua yenye Artashasta alimutumia Ezra (11-26)

    • Ezra anamusifu Yehova (27-28)

  • 8

    • Majina ya wale wenye walirudia pamoja na Ezra (1-14)

    • Matayarisho ya safari (15-30)

    • Kuondoka Babiloni na kufika Yerusalemu (31-36)

  • 9

    • Israeli wanaoa wanamuke wa kigeni (1-4)

    • Sala ya kutubu ya Ezra (5-15)

  • 10

    • Agano la kufukuza wanamuke wa kigeni (1-14)

    • Wanamuke wa kigeni wanafukuzwa (15-44)