Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Esta

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Karamu ya Mufalme Ahasuero katika Shushani (1-9)

    • Malkia Vashti anakataa kutii (10-12)

    • Mufalme anaomba mawazo ya wanaume wake wenye hekima (13-20)

    • Barua zenye kuwa na amri ya mufalme zinatumwa (21, 22)

  • 2

    • Malkia mupya anatafutwa (1-14)

    • Esta anakuwa malkia (15-20)

    • Mordekai anafunua mupango mubaya (21-23)

  • 3

    • Mufalme anamuinua Hamani (1-4)

    • Hamani anafanya mupango wa kuharibu Wayahudi (5-15)

  • 4

    • Mordekai anaomboleza (1-5)

    • Mordekai anamuomba Esta asaidie (6-17)

  • 5

    • Esta anaingia mbele ya mufalme (1-8)

    • Kasirani na kiburi cha Hamani (9-14)

  • 6

    • Mufalme anamuonyesha Mordekai heshima (1-14)

  • 7

    • Esta anafunua uovu wa Hamani (1-6a)

    • Hamani anatundikwa kwenye muti wenye alitengeneza (6b-10)

  • 8

    • Mordekai anapandishwa cheo (1, 2)

    • Esta anamulilia mufalme (3-6)

    • Mufalme anatoa agizo la kufuta maandishi ya Hamani (7-14)

    • Wayahudi wanapata kitulizo na furaha (15-17)

  • 9

    • Ushindi wa Wayahudi (1-19)

    • Sikukuu ya Purimu inaanzishwa (20-32)

  • 10

    • Ukubwa wa Mordekai (1-3)