Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Danieli

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Yerusalemu inazungukwa na Wababiloni kwa ajili ya vita (1, 2)

    • Mazoezi ya pekee ya vijana wa kifalme wenye walikamatwa mateka (3-5)

    • Uaminifu wa vijana ine Waebrania unajaribiwa (6-21)

  • 2

    • Mufalme Nebukadneza anaota ndoto yenye kuhangaisha (1-4)

    • Wenye hekima wote wanashindwa kueleza ndoto (5-13)

    • Danieli anamuomba Mungu musaada (14-18)

    • Mungu anasifiwa kwa kufunua siri (19-23)

    • Danieli anamuelezea mufalme ndoto hiyo (24-35)

    • Maana ya ndoto (36-45)

      • Jiwe la Ufalme litavunja sanamu (44, 45)

    • Mufalme anamupatia Danieli heshima (46-49)

  • 3

    • Sanamu ya zahabu ya Mufalme Nebukadneza (1-7)

      • Wanaombwa kuabudu sanamu (4-6)

    • Waebrania watatu wanashitakiwa kwamba wamekosa kutii (8-18)

      • “Hatutatumikia miungu yako” (18)

    • Wanatupwa ndani ya tanuru yenye kuwaka moto (19-23)

    • Wanaokolewa kwa njia ya muujiza kutoka katika moto (24-27)

    • Mufalme anamusifu Mungu wa Waebrania (28-30)

  • 4

    • Mufalme Nebukadneza anatambua kuwa Mungu ni mufalme (1-3)

    • Ndoto ya mufalme kuhusu muti (4-18)

      • Nyakati saba zitapita juu ya muti wenye uliangushwa (16)

      • Mungu ni mutawala juu ya wanadamu (17)

    • Danieli anafasiria maana ya ndoto (19-27)

    • Utimizo wa kwanza juu ya mufalme (28-36)

      • Mufalme anapata wazimu kwa muda wa nyakati saba (32, 33)

    • Mufalme anamutukuza Mungu wa mbinguni (37)

  • 5

    • Karamu ya mufalme Belshaza (1-4)

    • Maandishi ya mukono kwenye ukuta (5-12)

    • Danieli anaombwa afasirie maana ya maandishi (13-25)

    • Mafasirio: Kuanguka kwa Babiloni (26-31)

  • 6

    • Maofisa Waajemi wanafanya mupango mubaya juu ya Danieli (1-9)

    • Danieli anaendelea kusali (10-15)

    • Danieli anatupwa ndani ya shimo la simba (16-24)

    • Mufalme Dario anamuheshimia Mungu wa Danieli (25-28)

  • 7

    • Maono ya wanyama ine (1-8)

      • Pembe ndogo yenye majivuno inatokea (8)

    • Muzee wa Siku anafanya kikao (9-14)

      • Mwana wa binadamu anafanywa kuwa mufalme (13, 14)

    • Danieli anajulishwa maana ya maono (15-28)

      • Wanyama ine ni wafalme ine (17)

      • Watakatifu watapokea ufalme (18)

      • Pembe kumi, ao wafalme, wanasimama (24)

  • 8

    • Maono ya kondoo-dume na mbuzi-dume (1-14)

      • Pembe ndogo inajitukuza (9-12)

      • Mupaka mangaribi na asubui elfu mbili mia tatu (14)

    • Gabrieli anafasiria maana ya maono (15-27)

      • Maana ya kondoo-dume na mbuzi-dume inafasiriwa (20, 21)

      • Mufalme mwenye kuonekana kuwa mukali anasimama (23-25)

  • 9

    • Sala ya kuungama ya Danieli (1-19)

      • Miaka makumi saba ya ukiwa (2)

    • Gabrieli anakuja kwa Danieli (20-23)

    • Majuma makumi saba ya kiunabii yanatabiriwa (24-27)

      • Masiya atatokea kisha majuma makumi sita na kenda (25)

      • Masiya atakatiliwa mbali (26)

      • Muji na mahali patakatifu vitaharibiwa (26)

  • 10

    • Danieli anatembelewa na mujumbe wa Mungu (1-21 (1-21)

      • Mikaeli anamusaidia malaika (13)

  • 11

    • Wafalme wa Uajemi na Ugiriki (1-4)

    • Wafalme wa kusini na kaskazini (5-45)

      • Kutokea kwa mulipishaji (20)

      • Kiongozi wa agano atavunjwa (22)

      • Kutukuzwa kwa mungu wa ngome (38)

      • Mufalme wa kusini na mufalme wa kaskazini wanasukumana (40)

      • Habari zenye kusumbua kutoka mashariki na kaskazini (44)

  • 12

    • “Wakati wa mwisho” na kisha pale (1-13)

      • Mikaeli atasimama (1)

      • Wenye ufahamu watangaa kama mwangaza (3)

      • Ujuzi wa kweli utakuwa mwingi (4)

      • Danieli atasimama kwa ajili ya fungu lake (13)