Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Amosi

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Amosi anapokea ujumbe kutoka kwa Yehova (1, 2)

    • Hukumu kwa sababu ya kuasi tena na tena (3-15)

  • 2

    • Hukumu kwa sababu ya kuasi tena na tena (1-16)

  • 3

    • Kutangaza hukumu ya Mungu (1-8)

      • Mungu anafunua jambo lake la siri (7)

    • Ujumbe wa hukumu juu ya Samaria (9-15)

  • 4

    • Ujumbe wa hukumu juu ya ngombe wa Bashani (1-3)

    • Yehova anachekelea ibada ya uongo ya Israeli (4, 5)

    • Israeli anakataa nizamu (6-13)

      • “Ujitayarishe ili kukutana na Mungu wako” (12)

      • ‘Mungu anajulisha mwanadamu mawazo Yake ni nini’ (13)

  • 5

    • Israeli ni kama bikira mwenye ameanguka (1-3)

    • Mumutafute Yehova na muendelee kuishi (4-17)

      • Muchukie mabaya, mupende mema (15)

    • Siku ya Yehova itakuwa siku ya giza (18-27)

      • Zabihu za Israeli zinakataliwa (22)

  • 6

    • Ole kwa watu wenye hawajali! (1-14)

      • Vitanda vya pembe za tembo; mabakuli ya divai (4, 6)

  • 7

    • Maono yenye kuonyesha kwamba mwisho wa Israeli unakaribia (1-9)

      • Nzige (1-3), moto (4-6), a plumb usawa (7-9)

    • Amosi anaambiwa aache kutoa unabii (10-17)

  • 8

    • Maono ya kitunga cha matunda ya kipindi cha joto (1-3)

    • Wakandamizaji wanalaumiwa (4-14)

      • Njaa ya kiroho (11)

  • 9

    • Hukumu za Mungu haziepukike (1-10)

    • Kibanda cha Daudi kitasimamishwa (11-15)