Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Barua ya Pili kwa Wakorinto

Sura

1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Faraja kutoka kwa Mungu katika taabu yote (3-11)

    • Mabadiliko katika mipango ya safari za Paulo (12-24)

  • 2

    • Paulo anakusudia kuleta furaha (1-4)

    • Mutenda-zambi anasamehewa na kurudishwa (5-11)

    • Paulo katika Troa na Makedonia (12, 13)

    • Utumishi, maandamano ya ushindi (14-17)

      • Hatuko wachuruzi wa neno la Mungu (17)

  • 3

    • Barua za mapendekezo (1-3)

    • Watumishi wa agano jipya (4-6)

    • Utukufu wa muzuri zaidi wa agano jipya (7-18)

  • 4

    • Mwangaza wa habari njema (1-6)

      • Akili za wenye hawaamini zimepofushwa (4)

    • Hazina katika vyombo vya udongo (7-18)

  • 5

    • Kuvaa makao ya kimbingu (1-10)

    • Utumishi wa upatanisho (11-21)

      • Kiumbe kipya (17)

      • Mabalozi wa Kristo (20)

  • 6

    • Fazili za Mungu hazipaswe kutumiwa mubaya (1, 2)

    • Utumishi wa Paulo unaelezwa (3-13)

    • Musifungwe nira yenye haiko sawa (14-18)

  • 7

    • Tujisafishe uchafu (1)

    • Furaha ya Paulo juu ya Wakorinto (2-4)

    • Tito analeta habari ya muzuri (5-7)

    • Huzuni yenye kupatana na mapenzi ya Mungu, na toba  (8-16)

  • 8

    • Muchango kwa ajili ya Wakristo wa Yudea (1-15)

    • Tito anapaswa kutumwa Korinto (16-24)

  • 9

    • Kitia-moyo cha kutoa (1-15)

      • Mungu anapenda mutu mwenye anatoa kwa furaha (7)

  • 10

    • Paulo anatetea utumishi wake (1-18)

      • Silaha zetu haziko za kimwili (4, 5)

  • 11

    • Paulo na mitume wenye kujiona kuwa wazuri zaidi (1-15)

    • Shida zenye Paulo alipambana nazo akiwa mutume (16-33)

  • 12

    • Maono ya Paulo (1-7a)

    • “Mwiba katika mwili” wa Paulo (7b-10)

    • Paulo haiko mudogo kuliko mitume wenye kujiona kuwa wazuri zaidi (11-13)

    • Hangaiko la Paulo juu ya Wakorinto (14-21)

  • 13

    • Maonyo na mashauri ya mwisho (1-14)

      • “Muendelee kujijaribu ili kuona kama muko katika imani” (5)

      • Murekebishwe upya; mufikiri kwa upatano (11)