Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Pili cha Wafalme

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Eliya anatabiri kifo cha Ahazia (1-18)

  • 2

    • Eliya anachukuliwa katika zoruba yenye upepo mukali (1-18)

      • Elisha anapata nguo ya pekee ya Eliya (13, 14)

    • Elisha anaponyesha maji ya Yeriko (19-22)

    • Dubu wanaua vijana wadogo kutoka Beteli (23-25)

  • 3

    • Yehoramu, mufalme wa Israeli (1-3)

    • Moabu wanaasi Israeli (4-25)

    • Moabu wanashindwa (26, 27)

  • 4

    • Elisha anafanya mafuta ya mujane yaongezeke (1-7)

    • Mwanamuke Mushunamu anaonyesha ukaribishaji-wageni (8-16)

    • Mwanamuke anapewa zawabu ya kupata mwana; ule mwana anakufa (17-31)

    • Elisha anamufufua ule mutoto mwenye alikufa (32-37)

    • Elisha anafanya muchuzi uweze kukuliwa (38-41)

    • Elisha anafanya mikate iongezeke (42-44)

  • 5

    • Elisha anamuponyesha Naamani ukoma (1-19)

    • Gehazi mwenye pupa anapigwa na ukoma (20-27)

  • 6

    • Elisha anafanya kichwa cha shoka kielee juu ya maji (1-7)

    • Elisha anapambana na Wasiria (8-23)

      • Macho ya mutumishi wa Elisha yanafunguliwa (16, 17)

      • Wasiria wanapofushwa akili (18, 19)

    • Njaa katika muji wa Samaria wenye kuzungukwa kwa ajili ya vita (24-33)

  • 7

    • Elisha anatabiri mwisho wa njaa (1, 2)

    • Chakula kinapatikana katika kambi ya Wasiria yenye iliachwa (3-15)

    • Unabii wa Elisha unatimia (16-20)

  • 8

    • Mwanamuke Mushunamu anarudishiwa shamba lake (1-6)

    • EElisha, Ben-hadadi, na Hazaeli (7-15)

    • Yehoramu, mufalme wa Yuda (16-24)

    • Ahazia, mufalme wa Yuda (25-29)

  • 9

    • Yehu anatiwa mafuta kuwa mufalme wa Israeli (1-13)

    • Yehu anaua Yehoramu na Ahazia (14-29)

    • Yezebeli anauawa; imbwa wanakula mwili wake (30-37)

  • 10

    • Yehu anaua nyumba ya Ahabu (1-17)

      • Yehonadabu anajiunga na Yehu (15-17)

    • Yehu anaua waabudu wa Baali (18-27)

    • Maelezo mafupi juu ya utawala wa Yehu (28-36)

  • 11

    • Atalia anajiweka kwenye kiti cha ufalme (1-3)

    • Yehoashi anawekwa kuwa mufalme kwa uficho (4-12)

    • Atalia anauawa (13-16)

    • Mabadiliko yenye yalifanywa na Yehoyada (17-21)

  • 12

    • Yehoashi, mufalme wa Yuda (1-3)

    • Yehoashi anatengeneza hekalu (4-16)

    • Siria inashambulia (17, 18)

    • Yehoashi anauawa (19-21)

  • 13

    • Yehoahazi, mufalme wa Israeli (1-9)

    • Yehoashi, mufalme wa Israeli (10-13)

    • Elisha anapima bidii ya Yehoashi (14-19)

    • Kifo cha Elisha; mifupa yake inamufufua mutu (20, 21)

    • Unabii wa mwisho wa Elisha unatimizwa (22-25)

  • 14

    • Amazia, mufalme wa Yuda (1-6)

    • Vita pamoja na Edomu na pamoja na Israeli (7-14)

    • Kifo cha Yehoashi wa Israeli (15, 16)

    • Kifo cha Amazia (17-22)

    • Yeroboamu wa Pili, mufalme wa Israeli (23-29)

  • 15

    • Azaria, mufalme wa Yuda (1-7)

    • Wafalme wa mwisho wa Israeli: Zekaria (8-12), Shalumu (13-16), Menahemu (17-22), Pekahia (23-26), Peka (27-31)

    • Yotamu, mufalme wa Yuda (32-38)

  • 16

    • Ahazi, mufalme wa Yuda (1-6)

    • Ahazi anapatia Waashuru rushwa (7-9)

    • Ahazi anaiga mazabahu ya wapagani (10-18)

    • Kifo cha Ahazi (19, 20)

  • 17

    • Hoshea, mufalme wa Israeli (1-4)

    • Kuanguka kwa Israeli (5, 6)

    • Waisraeli wanahamishwa kwa sababu ya uasi-imani (7-23)

    • Wageni wanaletwa katika miji ya Samaria (24-26)

    • Muchanganyiko wa dini katika Samaria (27-41)

  • 18

    • Hezekia, mufalme wa Yuda (1-8)

    • Maelezo juu ya kuanguka kwa Israeli (9-12)

    • Senakeribu anashambulia Yuda (13-18)

    • Rabshake anamuchokoza Yehova (19-37)

  • 19

    • Hezekia anatafuta musaada wa Mungu kupitia Isaya (1-7)

    • Senakeribu anaogopesha Yerusalemu (8-13)

    • Sala ya Hezekia (14-19)

    • Isaya anatoa jibu la Mungu (20-34)

    • Malaika anaua Waashuru elfu mia moja makumi munane na tano (35-37)

  • 20

    • Ugonjwa wa Hezekia na kupona kwake (1-11)

    • Wajumbe kutoka Babiloni (12-19)

    • Kifo cha Hezekia (20, 21)

  • 21

    • Manase, mufalme wa Yuda; umwangaji wake wa damu (1-18)

      • Yerusalemu itaharibiwa (12-15)

    • Amoni, mufalme wa Yuda (19-26)

  • 22

    • Yosia, mufalme wa Yuda (1, 2)

    • Maagizo kwa ajili ya kutengeneza hekalu (3-7)

    • Kitabu cha Sheria kinapatikana (8-13)

    • Hulda anatoa unabii wa musiba (14-20)

  • 23

    • Mabadiliko yenye Yosia alifanya (1-20)

    • Pasaka inafanywa (21-23)

    • Mabadiliko mengine yenye Yosia alifanya (24-27)

    • Kifo cha Yosia (28-30)

    • Yehoahazi, mufalme wa Yuda (31-33)

    • Yehoyakimu, mufalme wa Yuda (34-37)

  • 24

    • Uasi na kifo cha Yehoyakimu (1-7)

    • Yehoyakini, mufalme wa Yuda (8, 9)

    • Kuhamishwa kwa mara ya kwanza kuenda Babiloni (10-17)

    • Sedekia, mufalme wa Yuda; uasi wake (18-20)

  • 25

    • Nebukadneza anazunguka Yerusalemu kwa ajili ya vita (1-7)

    • Kuharibiwa kwa Yerusalemu na hekalu lake; kuhamishwa kwa mara ya pili (8-21)

    • Gedalia anafanywa kuwa gavana (22-24)

    • Gedalia anauawa; watu wanakimbilia Misri (25, 26)

    • Yehoyakini anaachiliwa huru katika Babiloni (27-30)