Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Pili cha Samweli

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Daudi anapata habari ya kifo cha Sauli (1-16)

    • Wimbo wa huzuni wa Daudi kuhusu Sauli na Yonatani (17-27)

  • 2

    • Daudi, mufalme juu ya Yuda (1-7)

    • Ish-bosheti, mufalme juu ya Israeli (8-11)

    • Vita kati ya nyumba ya Daudi na nyumba ya Sauli (12-32)

  • 3

    • Nyumba ya Daudi inaendelea kupata nguvu (1)

    • Wana wa Daudi (2-5)

    • Abneri anajiunga na Daudi (6-21)

    • Yoabu anamuua Abneri (22-30)

    • Daudi anamuombolezea Abneri (31-39)

  • 4

    • Ish-bosheti anauawa (1-8)

    • Daudi anaamuru wauaji wauawe (9-12)

  • 5

    • Daudi anafanywa kuwa mufalme juu ya Israeli yote (1-5)

    • Muji wa Yerusalemu unakamatwa (6-16)

      • Sayuni, Muji wa Daudi (7)

    • Daudi anashinda Wafilisti (17-25)

  • 6

    • Sanduku linaletwa Yerusalemu (1-23)

      • Uza anashika Sanduku na kuuawa (6-8)

      • Mikali anamuzarau Daudi (16, 20-23)

  • 7

    • Daudi hatajenga hekalu (1-7)

    • Agano pamoja na Daudi kwa ajili ya ufalme (8-17)

    • Sala ya Daudi ya shukrani (18-29)

  • 8

    • Ushindi mbalimbali wa Daudi (1-14)

    • Namna utawala wa Daudi ulipangwa (15-18)

  • 9

    • Daudi anamuonyesha Mefibosheti upendo mushikamanifu (1-13)

  • 10

    • Ushindi mbalimbali juu ya Waamoni na Wasiria (1-19)

  • 11

    • Daudi anafanya uzinifu na Bat-sheba (1-13)

    • Daudi anafanya mipango ili Uria auawe (14-25)

    • Daudi anamuchukua Bat-sheba ili akuwe bibi yake (26, 27)

  • 12

    • Natani anamukaripia Daudi (1-15a)

    • Mwana wa Bat-sheba anakufa (15b-23)

    • Bat-sheba anamuzaa Sulemani (24, 25)

    • Muji wa Raba wa Waamoni unakamatwa (26-31)

  • 13

    • Amnoni anamulala Tamari kinguvu (1-22)

    • Absalomu anamuua Amnoni (23-33)

    • Absalomu anakimbilia Geshuri (34-39)

  • 14

    • Yoabu na mwanamuke Mutekoa (1-17)

    • Daudi anavumbua mupango mubaya wa Yoabu (18-20)

    • Absalomu anaruhusiwa kurudia (21-33)

  • 15

    • Mupango mubaya na uasi wa Absalomu (1-12)

    • Daudi anakimbia kutoka Yerusalemu (13-30)

    • Ahitofeli anajiunga na Absalomu (31)

    • Hushai anatumwa ili amuzuie Ahitofeli (32-37)

  • 16

    • Siba anamuchongea Mefibosheti (1-4)

    • Shimei anamulaani Daudi (5-14)

    • Absalomu anamupokea Hushai (15-19)

    • Shauri la Ahitofeli (20-23)

  • 17

    • Hushai anavuruga shauri la Ahitofeli (1-14)

    • Daudi anaonywa; anamuponyoka Absalomu (15-29)

      • Barzilai na wengine wanaleta vyakula (27-29)

  • 18

    • Absalomu anashindwa; kifo chake (1-18)

    • Daudi anajulishwa kuhusu kifo cha Absalomu (19-33)

  • 19

    • Daudi anamuombolezea Absalomu (1-4)

    • Yoabu anamukaripia Daudi (5-8a)

    • Daudi anarudia Yerusalemu (8b-15)

    • Shimei anaomba musamaha (16-23)

    • Mefibosheti anaonekana kuwa hana hatia (24-30)

    • Barzilai anaonyeshwa heshima (31-40)

    • Ubishi kati ya makabila (41-43)

  • 20

    • Uasi wa Sheba; Yoabu anamuua Amasa (1-13)

    • Sheba anafuatiliwa na kukatwa kichwa (14-22)

    • Namna utawala wa Daudi ulipangwa (23-26)

  • 21

    • Wagibeoni wanalipiza kisasi juu ya nyumba ya Sauli (1-14)

    • Vita juu ya Wafilisti (15-22)

  • 22

    • Daudi anamusifu Mungu kwa sababu ya matendo yake ya wokovu (1-51)

      • “Yehova ni mwamba wangu” (2)

      • Yehova ni mushikamanifu kwa wenye kuwa washikamanifu (26)

  • 23

    • Maneno ya mwisho ya Daudi (1-7)

    • Matendo ya ajabu ya wapiganaji-vita wenye nguvu wa Daudi (8-39)

  • 24

    • Zambi ya Daudi ya kuhesabia watu (1-14)

    • Ugonjwa wa kuambukiza unaua watu elfu makumi saba (15-17)

    • Daudi anajenga mazabahu (18-25)

      • Hakuna zabihu bila garama (24)