Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Sulemani anaomba hekima (1-12)

    • Utajiri wa Sulemani (13-17)

  • 2

    • Matayarisho ya kujenga hekalu (1-18)

  • 3

    • Sulemani anaanza kujenga hekalu (1-7)

    • Patakatifu Zaidi (8-14)

    • Nguzo mbili za shaba (15-17)

  • 4

    • Mazabahu, Bahari, na beseni (1-6)

    • Vinara vya taa, meza, na viwanja (7-11a)

    • Vyombo vyote vya hekalu vinamalizika (11b-22)

  • 5

    • Matayarisho ya kuzindua hekalu (1-14)

      • Sanduku linaletwa katika hekalu (2-10)

  • 6

    • Sulemani anatolea watu hotuba (1-11)

    • Sala ya Sulemani ya kuzindua hekalu (12-42)

  • 7

    • Hekalu linajaa utukufu wa Yehova (1-3)

    • Sherehe za kuzindua hekalu (4-10)

    • Yehova anamutokea Sulemani (11-22)

  • 8

    • Miradi mingine ya ujenzi ya Sulemani (1-11)

    • Ibada kwenye hekalu inapangwa (12-16)

    • Mashua za Sulemani (17, 18)

  • 9

    • Malkia wa Sheba anamutembelea Sulemani (1-12)

    • Utajiri wa Sulemani (13-28)

    • Kifo cha Sulemani (29-31)

  • 10

    • Uasi wa Israeli kumuelekea Rehoboamu (1-19)

  • 11

    • Utawala wa Rehoboamu (1-12)

    • Walawi washikamanifu wanahamia Yuda (13-17)

    • Familia ya Rehoboamu (18-23)

  • 12

    • Shambulizi la Shishaki juu ya Yerusalemu (1-12)

    • Mwisho wa utawala wa Rehoboamu (13-16)

  • 13

    • Abiya, mufalme wa Yuda (1-22)

      • Abiya anamushinda Yeroboamu (3-20)

  • 14

    • Kifo cha Abiya (1)

    • Asa, mufalme wa Yuda (2-8)

    • Asa anashinda Waetiopia milioni moja (9-15)

  • 15

    • Mabadiliko yenye yalifanywa na Asa (1-19)

  • 16

    • Mapatano ya Asa pamoja na Siria (1-6)

    • Hanani anamukemea Asa (7-10)

    • Kifo cha Asa (11-14)

  • 17

    • Yehoshafati, mufalme wa Yuda (1-6)

    • Kampanye ya kufundisha (7-9)

    • Nguvu za kijeshi za Yehoshafati (10-19)

  • 18

    • Mapatano ya Yehoshafati pamoja na Ahabu (1-11)

    • Unabii wa Mikaya wa kushindwa (12-27)

    • Ahabu anauawa kule Ramoti-gileadi (28-34)

  • 19

    • Yehu anamukemea Yehoshafati (1-3)

    • Mabadiliko yenye yalifanywa na Yehoshafati (4-11)

  • 20

    • Mataifa jirani yanaogopesha Yuda (1-4)

    • Yehoshafati anasali ili apate musaada (5-13)

    • Jibu kutoka kwa Yehova (14-19)

    • Yuda wanaokolewa kwa njia ya muujiza (20-30)

    • Mwisho wa utawala wa Yehoshafati (31-37)

  • 21

    • Yehoramu, mufalme wa Yuda (1-11)

    • Ujumbe wenye kuandikwa kutoka kwa Eliya (12-15)

    • Mwisho mubaya wa Yehoramu (16-20)

  • 22

    • Ahazia, mufalme wa Yuda (1-9)

    • Atalia anajiweka kwenye kiti cha ufalme (10-12)

  • 23

    • Yehoyada anaingilia kati; Yehoashi anafanywa kuwa mufalme (1-11)

    • Atalia anauawa (12-15)

    • Mabadiliko yenye Yehoyada alifanya (16-21)

  • 24

    • Utawala wa Yehoashi (1-3)

    • Yehoashi anatengeneza hekalu (4-14)

    • Uasi-imani wa Yehoashi (15-22)

    • Yehoashi anauawa (23-27)

  • 25

    • Amazia, mufalme wa Yuda (1-4)

    • Vita pamoja na Edomu (5-13)

    • Amazia anaabudu sanamu (14-16)

    • Vita pamoja na Mufalme Yehoashi wa Israeli (17-24)

    • Kifo cha Amazia (25-28)

  • 26

    • Uzia, mufalme wa Yuda (1-5)

    • Mambo makubwa ya kijeshi yenye Uzia alitimiza (6-15)

    • Uzia mwenye majivuno anafanywa kuwa mwenye ukoma (16-21)

    • Kifo cha Uzia (22, 23)

  • 27

    • Yotamu, mufalme wa Yuda (1-9)

  • 28

    • Ahazi, mufalme wa Yuda (1-4)

    • Anashindwa mbele ya Siria na Israeli (5-8)

    • Odedi anaonya Israeli (9-15)

    • Yuda wananyenyekezwa (16-19)

    • Ahazi anaabudu sanamu; kifo chake (20-27)

  • 29

    • Hezekia, mufalme wa Yuda (1, 2)

    • Mabadiliko yenye yalifanywa na Hezekia (3-11)

    • Hekalu linatakaswa (12-19)

    • Utumishi wa hekalu unarudishwa (20-36)

  • 30

    • Hezekia anafanya Pasaka (1-27)

  • 31

    • Hezekia anangoa uasi-imani (1)

    • Makuhani na Walawi wanategemezwa kwa njia yenye kufaa (2-21)

  • 32

    • Senakeribu anaogopesha Yerusalemu (1-8)

    • Senakeribu anamupinga Yehova (9-19)

    • Malaika anaua jeshi la Ashuru (20-23)

    • Ugonjwa wa Hezekia na majivuno yake (24-26)

    • Mambo yenye Hezekia alitimiza na kifo chake (27-33)

  • 33

    • Manase, mufalme wa Yuda (1-9)

    • Manase anatubu ubaya wake (10-17)

    • Kifo cha Manase (18-20)

    • Amoni, mufalme wa Yuda (21-25)

  • 34

    • Yosia, mufalme wa Yuda (1, 2)

    • Mabadiliko yenye Yosia alifanya (3-13)

    • Kitabu cha Sheria kinapatikana (14-21)

    • Hulda anatoa unabii wa musiba (22-28)

    • Yosia anasomea watu kitabu (29-33)

  • 35

    • Yosia anapanga Pasaka kubwa (1-19)

    • Farao Neko anamuua Yosia (20-27)

  • 36

    • Yehoahazi, mufalme wa Yuda (1-3)

    • Yehoyakimu, mufalme wa Yuda (4-8)

    • Yehoyakini, mufalme wa Yuda (9, 10)

    • Sedekia, mufalme wa Yuda (11-14)

    • Uharibifu wa Yerusalemu (15-21)

    • Agizo la Koreshi la kujenga upya hekalu (22, 23)