Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Kwanza cha Wafalme

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Daudi na Abishagi (1-4)

    • Adoniya anatafuta kiti cha ufalme (5-10)

    • Natani na Bat-sheba wanachukua hatua (11-27)

    • Daudi anaagiza kwamba Sulemani atiwe mafuta (28-40)

    • Adoniya anakimbilia kwenye mazabahu (41-53)

  • 2

    • Daudi anamupatia Sulemani maagizo (1-9)

    • Daudi anakufa; Sulemani kwenye kiti cha ufalme (10-12)

    • Mupango mubaya wa Adoniya unaongoza kwenye kifo chake (13-25)

    • Abiatari anafukuzwa; Yoabu anauawa (26-35)

    • Shimei anauawa (36-46)

  • 3

    • Sulemani anamuoa binti ya Farao (1-3)

    • Yehova anamutokea Sulemani katika ndoto (4-15)

      • Sulemani anaomba hekima (7-9)

    • Sulemani anaamua kesi ya mama wawili (16-28)

  • 4

    • Usimamizi katika utawala wa Sulemani (1-19)

    • Mafanikio katika utawala wa Sulemani (20-28)

      • Usalama chini ya muzabibu na muti wa tini (25)

    • Hekima na mezali za Sulemani (29-34)

  • 5

    • Mufalme Hiramu anatoa vifaa vya ujenzi (1-12)

    • Watu wa Sulemani wenye waliandikishwa kwa ajili ya kazi ya kulazimishwa (13-18)

  • 6

    • Sulemani anajenga hekalu (1-38)

      • Chumba cha ndani kabisa (19-22)

      • Makerubi (23-28)

      • Michongo, milango, kiwanja cha ndani (29-36)

      • Hekalu linamalizika katika miaka saba hivi (37, 38)

  • 7

    • Majengo yenye kuzunguka nyumba ya kifalme ya Sulemani (1-12)

    • Hiramu mwenye ufundi anamusaidia Sulemani (13-47)

      • Nguzo mbili za shaba (15-22)

      • Bahari ya metali yenye kuyeyushwa (23-26)

      • Magari kumi na beseni za shaba (27-39)

    • Vyombo vya zahabu vinamalizwa (48-51)

  • 8

    • Sanduku linaletwa katika hekalu (1-13)

    • Sulemani anasema na watu (14-21)

    • Sala ya Sulemani ya kumutolea Mungu hekalu (22-53)

    • Sulemani anabariki watu (54-61)

    • Zabihu na sikukuu ya kumutolea Mungu hekalu (62-66)

  • 9

    • Yehova anamutokea tena Sulemani (1-9)

    • Zawadi ya Sulemani kwa Mufalme Hiramu (10-14)

    • Mipango mbalimbali ya Sulemani (15-28)

  • 10

    • Malkia wa Sheba anamutembelea Sulemani (1-13)

    • Utajiri mukubwa wa Sulemani (14-29)

  • 11

    • Bibi za Sulemani wanageuza moyo wake (1-13)

    • Wapinzani wa Sulemani (14-25)

    • Yeroboamu anaahidiwa makabila kumi (26-40)

    • Sulemani anakufa; Rehoboamu anafanywa kuwa mufalme (41-43)

  • 12

    • Jibu la ukali la Rehoboamu (1-15)

    • Makabila kumi yanaasi (16-19)

    • Yeroboamu anafanywa kuwa mufalme wa Israeli (20)

    • Rehoboamu anaambiwa asipigane na Israeli (21-24)

    • Ibada ya Yeroboamu ya kitoto-dume cha ngombe (25-33)

  • 13

    • Unabii juu ya mazabahu ya Beteli (1-10)

      • Mazabahu inapasuka (5)

    • Mutu wa Mungu anakosa kutii (11-34)

  • 14

    • Unabii wa Ahiya juu ya Yeroboamu (1-20)

    • Rehoboamu anatawala juu ya Yuda (21-31)

      • Shishaki anashambulia (25, 26)

  • 15

    • Abiyamu, mufalme wa Yuda (1-8)

    • Asa, mufalme wa Yuda (9-24)

    • Nadabu, mufalme wa Israeli (25-32)

    • Baasha, mufalme wa Israeli (33, 34)

  • 16

    • Hukumu ya Yehova juu ya Baasha (1-7)

    • Ela, mufalme wa Israeli (8-14)

    • Zimri, mufalme wa Israeli (15-20)

    • Omri, mufalme wa Israeli (21-28)

    • Ahabu, mufalme wa Israeli (29-33)

    • Hieli anajenga upya Yeriko (34)

  • 17

    • Nabii Eliya anatabiri ukame (1)

    • Eliya analishwa na kunguru (2-7)

    • Eliya anamutembelea mujane katika Sarefati (8-16)

    • Mwana wa mujane anakufa na anafufuliwa (17-24)

  • 18

    • Eliya anakutana na Obadia na Ahabu (1-18)

    • Eliya anapambana na manabii wa Baali kule Karmeli (19-40)

      • “Kuyumba-yumba kati ya mawazo mbili” (21)

    • Ukame wa miaka tatu na nusu unaisha (41-46)

  • 19

    • Eliya anakimbia kasirani kali ya Yezebeli (1-8)

    • Yehova anamutokea Eliya kule Horebu (9-14)

    • Eliya anaambiwa amutie mafuta Hazaeli, Yehu, Elisha (15-18)

    • Elisha anawekwa ili kuchukua nafasi ya Eliya (19-21)

  • 20

    • Wasiria wanapigana vita na Ahabu (1-12)

    • Ahabu anashinda Wasiria (13-34)

    • Unabii juu ya Ahabu (35-43)

  • 21

    • Ahabu anatamani shamba la mizabibu la Naboti (1-4)

    • Yezebeli anapanga mupango wa kumuua Naboti (5-16)

    • Ujumbe wa Eliya juu ya Ahabu (17-26)

    • Ahabu anajinyenyekeza (27-29)

  • 22

    • Mapatano ya Yehoshafati pamoja na Ahabu (1-12)

    • Mikaya anatabiri kushindwa (13-28)

      • Roho ya udanganyifu ili kumudanganya Ahabu (21, 22)

    • Ahabu anauawa kule Ramoti-gileadi (29-40)

    • Utawala wa Yehoshafati juu ya Yuda (41-50)

    • Ahazia mufalme wa Israeli (51-53)