Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Barua ya Kwanza kwa Timoteo

Sura

1 2 3 4 5 6

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Salamu (1, 2)

    • Onyo juu ya walimu wa uongo (3-11)

    • Paulo alionyeshwa fazili zenye hazistahiliwe (12-16)

    • Mufalme wa umilele (17)

    • ‘Pigana vita ya muzuri’ (18-20)

  • 2

    • Sala kwa ajili ya watu wa namna zote (1-7)

      • Mungu mumoja, mupatanishi mumoja (5)

      • Bei ya ukombozi yenye kulingana kwa ajili ya wote (6)

    • Maagizo kwa wanaume na wanamuke (8-15)

      • Kuvaa kwa kiasi (9, 10)

  • 3

    • Sifa za kustahili kuwa mwangalizi (1-7)

    • Sifa za kustahili kuwa mutumishi wa huduma (8-13)

    • Siri takatifu ya ushikamanifu kwa Mungu (14-16)

  • 4

    • Onyo juu ya mafundisho ya pepo wachafu (1-5)

    • Namna ya kuwa mutumishi muzuri wa Kristo (6-10)

      • Tofauti kati ya mazoezi ya mwili na ushikamanifu kwa Mungu (8)

    • Ukuwe muangalifu kuhusu kufundisha kwako (11-16)

  • 5

    • Namna ya kutendea vijana na wazee (1, 2)

    • Kusaidia wajane (3-16)

      • Kutimiza mahitaji ya watu wa nyumba yako mwenyewe (8)

    • Kuheshimia wazee wenye wanafanya kazi kwa bidii (17-25)

      • ‘Divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako’ (23)

  • 6

    • Watumwa waheshimie mabwana wao (1, 2)

    • Walimu wa uongo na kupenda feza (3-10)

    • Maagizo kwa ajili ya mutu wa Mungu (11-16)

    • Kuwa tajiri katika matendo ya muzuri (17-19)

    • Linda mambo yenye ulipewa (20, 21)