Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Kwanza cha Samweli

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Elkana na bibi zake (1-8)

    • Hana mwenye hakukuwa na mutoto anasali ili apate mwana (9-18)

    • Samweli anazaliwa na anatolewa kwa Yehova (19-28)

  • 2

    • Sala ya Hana (1-11)

    • Zambi za wana wawili wa Eli (12-26)

    • Yehova anahukumu nyumba ya Eli (27-36)

  • 3

    • Samweli anaitwa ili akuwe nabii (1-21)

  • 4

    • Wafilisti wanakamata Sanduku (1-11)

    • Eli na wana wake wanakufa (12-22)

  • 5

    • Sanduku katika eneo la Wafilisti (1-12)

      • Dagoni anapatishwa haya (1-5)

      • Wafilisti wanaletewa pigo (6-12)

  • 6

    • Wafilisti wanarudishia Israeli Sanduku (1-21)

  • 7

    • Sanduku katika muji wa Kiriat-yearimu (1)

    • Samweli anatia watu moyo: ‘Mumutumikie Yehova peke yake’ (2-6)

    • Ushindi wa Israeli kule Mispa (7-14)

    • Samweli anahukumu Israeli (15-17)

  • 8

    • Israeli wanaomba mufalme (1-9)

    • Samweli anaonya watu (10-18)

    • Yehova anakubali ombi la kutaka mufalme (19-22)

  • 9

    • Samweli anakutana na Sauli (1-27)

  • 10

    • Sauli anatiwa mafuta ili akuwe mufalme (1-16)

    • Sauli analetwa mbele ya watu (17-27)

  • 11

    • Sauli anashinda Waamoni (1-11)

    • Sauli anahakikishwa tena kuwa mufalme (12-15)

  • 12

    • Hotuba ya Samweli ya kuaga watu (1-25)

      • ‘Musifuate mambo yenye hayana maana’ (21)

      • Yehova hataacha watu wake (22)

  • 13

    • Sauli anachagua jeshi (1-4)

    • Sauli anatenda kwa kimbelembele (5-9)

    • Samweli anamukaripia Sauli (10-14)

    • Israeli hawakukuwa na silaha (15-23)

  • 14

    • Yonatani anapata matokeo makubwa kule Mikmashi (1-14)

    • Mungu anashinda maadui wa Israeli (15-23)

    • Sauli anafanya kiapo bila kufikiri (24-46)

      • Watu wanakula nyama pamoja na damu (32-34)

    • Vita za Sauli; familia yake (47-52)

  • 15

    • Sauli anakosa kutii kwa kuacha kumuharibu Agagi (1-9)

    • Samweli anamukaripia Sauli (10-23)

      • “Kutii ni muzuri kuliko zabihu” (22)

    • Sauli anakataliwa asikuwe mufalme (24-29)

    • Samweli anamuua Agagi (30-35)

  • 16

    • Samweli anamutia Daudi mafuta ili akuwe Mufalme mwenye kufuata (1-13)

      • “Yehova anaona ndani ya moyo” (7)

    • Roho ya Mungu inaondolewa juu ya Sauli (14-17)

    • Daudi anakuwa mupiga-kinubi wa Sauli (18-23)

  • 17

    • Daudi anamushinda Goliati (1-58)

      • Goliati anazihaki Israeli (8-10)

      • Daudi anakubali kupigana na Goliati (32-37)

      • Daudi anapigana katika jina la Yehova (45-47)

  • 18

    • Urafiki wa Daudi na Yonatani (1-4)

    • Ushindi mbalimbali wa Daudi unamufanya Sauli akuwe na wivu (5-9)

    • Sauli anajaribu kumuua Daudi (10-19)

    • Daudi anamuoa Mikali binti ya Sauli (20-30)

  • 19

    • Sauli anaendelea kumuchukia Daudi (1-13)

    • Daudi anamukimbia Sauli (14-24)

  • 20

    • Ushikamanifu wa Yonatani kwa Daudi (1-42)

  • 21

    • Daudi anakula mikate ya wonyesho kule Nobu (1-9)

    • Daudi anajifanya kuwa mwenda-wazimu kule Gati (10-15)

  • 22

    • Daudi kule Adulamu na Mispe (1-5)

    • Sauli anafanya makuhani wa Nobu wauawe (6-19)

    • Abiatari anatoroka (20-23)

  • 23

    • Daudi anaokoa muji wa Keila (1-12)

    • Sauli anamufuatilia Daudi (13-15)

    • Yonatani anamutia nguvu Daudi (16-18)

    • Daudi alikuwa karibu kukamatwa na Sauli (19-29)

  • 24

    • Daudi hamuue Sauli (1-22)

      • Daudi anamuheshimia mutiwa-mafuta wa Yehova (6)

  • 25

    • Kifo cha Samweli (1)

    • Nabali anakataa kuhangaikia watu wa Daudi (2-13)

    • Abigaili anatenda kwa hekima (14-35)

      • ‘Mufuko wa uzima karibu na Yehova’ (29)

    • Yehova anamuua Nabali mwenye hana akili (36-38)

    • Abigaili anakuwa bibi ya Daudi (39-44)

  • 26

    • Tena Daudi hamuue Sauli (1-25)

      • Daudi anamuheshimia mutiwa-mafuta wa Yehova (11)

  • 27

    • Wafilisti wanamupatia Daudi muji wa Siklagi (1-12)

  • 28

    • Sauli anatembelea mutu mwenye kupashana habari na pepo wachafu kule En-dori (1-25)

  • 29

    • Wafilisti hawamuamini Daudi (1-11)

  • 30

    • Waamaleki wanashambulia na kuteketeza Siklagi kwa moto (1-6)

      • Daudi anapata nguvu kutoka kwa Mungu (6)

    • Daudi anashinda Waamaleki (7-31)

      • Daudi anakamata tena watu wenye walikamatwa mateka (18, 19)

      • Agizo la Daudi kuhusu vitu vyenye vinachukuliwa katika vita (23, 24)

  • 31

    • Kifo cha Sauli na wana wake watatu (1-13)