Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

Sura

Habari Zenye Kuwa Ndani

  • 1

    • Kuanzia Adamu mupaka Abrahamu (1-27)

    • Wazao wa Abrahamu (28-37)

    • Waedomu na wafalme wao na mashehe wao (38-54)

  • 2

    • Wana kumi na mbili wa Israeli (1, 2)

    • Wazao wa Yuda (3-55)

  • 3

    • Wazao wa Daudi (1-9)

    • Ukoo wa kifalme wa Daudi (10-24)

  • 4

    • Wazao wengine wa Yuda (1-23)

      • Yabesi na sala yake (9, 10)

    • Wazao wa Simeoni (24-43)

  • 5

    • Wazao wa Rubeni (1-10)

    • Wazao wa Gadi (11-17)

    • Wahagri wanashindwa (18-22)

    • Nusu ya kabila la Manase (23-26)

  • 6

  • 7

    • Wazao wa Isakari (1-5), wa Benyamini (6-12), wa Naftali (13), wa Manase (14-19), wa Efraimu (20-29), na wa Asheri (30-40)

  • 8

    • Wazao wa Benyamini (1-40)

  • 9

    • Ukoo kisha kurudia kutoka katika uhamisho (1-34)

    • Ukoo wa Sauli unatajwa tena (35-44)

  • 10

    • Kifo cha Sauli na wana wake (1-14)

  • 11

    • Israeli wote wanamutia Daudi mafuta ili akuwe mufalme (1-3)

    • Daudi anakamata Sayuni (4-9)

    • Wapiganaji-vita wenye nguvu wa Daudi (10-47)

  • 12

    • Wenye waliunga mukono ufalme wa Daudi (1-40)

  • 13

    • Sanduku linaletwa kutoka Kiriat-yearimu (1-14)

      • Uza anapigwa na kufa (9, 10)

  • 14

    • Daudi anawekwa kuwa mufalme (1, 2)

    • Familia ya Daudi (3-7)

    • Wafilisti wanashindwa (8-17)

  • 15

    • Walawi wanabeba Sanduku mupaka Yerusalemu (1-29)

      • Mikali anamuzarau Daudi (29)

  • 16

    • Sanduku linawekwa katika hema (1-6)

    • Wimbo wa shukrani wa Daudi (7-36)

      • “Yehova amekuwa Mufalme!” (31)

    • Utumishi mbele ya Sanduku (37-43)

  • 17

    • Daudi hatajenga hekalu (1-6)

    • Agano pamoja na Daudi kwa ajili ya ufalme (7-15)

    • Sala ya Daudi ya shukrani (16-27)

  • 18

    • Ushindi mbalimbali wa Daudi (1-13)

    • Usimamizi wa Daudi (14-17)

  • 19

    • Waamoni wanatendea mubaya wajumbe wa Daudi (1-5)

    • Ushindi juu ya Amoni na Siria (6-19)

  • 20

    • Raba inakamatwa (1-3)

    • Wafilisti wenye ukubwa wa ajabu wanauawa (4-8)

  • 21

    • Daudi anahesabia watu bila ruhusa (1-6)

    • Azabu kutoka kwa Yehova (7-17)

    • Daudi anajenga mazabahu (18-30)

  • 22

    • Daudi anafanya matayarisho kwa ajili ya hekalu (1-5)

    • Daudi anamupatia Sulemani maagizo (6-16)

    • Wakubwa wanapewa amri wamusaidie Sulemani (17-19)

  • 23

    • Daudi anapanga Walawi (1-32)

      • Haruni na wana wake wanawekwa pembeni (13)

  • 24

    • Daudi anapanga makuhani katika vikundi makumi mbili na ine (1-19)

    • Kazi zingine za Walawi (20-31)

  • 25

    • Wapiga-muziki na waimbaji kwa ajili ya nyumba ya Mungu (1-31)

  • 26

    • Vikundi vya walinzi wa milango mikubwa (1-19)

    • Waweka-hazina na maofisa wengine (20-32)

  • 27

    • Maofisa katika kazi ya mufalme (1-34)

  • 28

    • Hotuba ya Daudi juu ya ujenzi wa hekalu (1-8)

    • Maagizo kwa Sulemani; plani ya ujenzi inatolewa (9-21)

  • 29

    • Michango kwa ajili ya hekalu (1-9)

    • Sala ya Daudi (10-19)

    • Watu wanafurahi; ufalme wa Sulemani (20-25)

    • Kifo cha Daudi (26-30)