Hamia kwenye habari

Afya ya Kimwili na Kiakili

Maisha Yenye Afya

Maoni ya Biblia Kuhusu Afya

Jifunze yale ambayo Biblia inasema kuhusu magonjwa na matibabu.

Njia za Kuboresha Afya Yako

Mambo matano unayoweza kufanya ili kuboresha afya ili kuwa na afya bora.

Jinsi ya Kujilinda na Magonjwa

Kila siku mwili wako hupambana na maadui wengi hatari wasioonekana.

Mtazamo Unaweza Kuboresha Maisha Yako!

Je, hekima ya Biblia inaweza kukusaidia uwe na furaha?

Kuboresha Maisha​—Kuboresha Hali ya Kihisia

Tunanufaika tunapositawisha uwezo wa kudhibiti hisia zetu.

Njia ya Maisha Inayoleta Furaha​—Afya Nzuri na Ustahimilivu

Je, kuzorota kwa afya kunafanya mtu asiweze kabisa kuwa na furaha?

Jilinde Dhidi ya Habari za Uwongo

Kuna habari nyingi zinazopotosha, ripoti za uwongo, na fununu zisizo na msingi na zinaweza kukuletea madhara.

Mambo Saba Muhimu ya Kuhakikisha Chakula Ni Salama na Chenye Lishe

Uhai ni zawadi, na tunaonyesha kwamba tunauthamini kwa kutunza afya yetu na ya familia yetu. Fikiria jinsi unavyoweza kufanya hivyo.

Ninaweza Kupunguzaje Uzito?

Ikiwa unahitaji kupunguza uzito, usifikiri kwamba unahitaji kuepuka vyakula fulani bali, unahitaji kubadili mtindo wa maisha.

Vijana Wanazungumza Kuhusu Kutunza Afya

Je, ni vigumu kwako kula vizuri na kufanya mazoezi? Katika video hii vijana fulani wanaeleza mambo ambayo wao hufanya ili kudumisha afya nzuri.

Nifanye Nini Ili Nipate Chakula Chenye Lishe?

Vijana wasiotunza afya zao huwa watu wazima wasio na afya nzuri, hivyo ni vizuri kusitawisha mazoea mazuri ya kula sasa.

Kuboresha Maisha​—Kuboresha Afya

Kanuni za Biblia zinatutia moyo tufanye yote tunayoweza ili kutunza afya zetu.

Kushinda Tatizo la Kunenepa Kupita Kiasi Miongoni mwa Vijana

Soma kuhusu kijana mmoja aliyekuwa na mazoea ya vyakula visivyo na lishe alivyobadili mazoea hayo.

Kukabiliana na Uzee Vizuri

Mapendekezo sita yanayotegemea Biblia yanaweza kukabiliana na hali hiyo mpya maishani.

Hewa Safi na Mwangaza wa Jua—Je, Ni ‘Dawa Asili Za Kuua Viini’?

Utafiti wa kisayansi wa leo unathibitisha usahihi wa utafiti uliofanywa katika miaka ya 1800.

Kukabiliana na Magonjwa

Jinsi ya Kukabiliana na Tatizo la Afya

Ni habari gani zinazofaa zilizo katika Biblia zinazoweza kukusaidia afya yako inapozorota ghafla?

Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Ikiwa Nina Ugonjwa wa Kudumu?

Ndiyo! Jifunze kuhusu hatua tatu zinazoweza kukusaidia kukabiliana na ugonjwa wa kudumu.

Jinsi ya Kuwasaidia Watu Wenye Ugonjwa wa Akili

Utegemezo wako unaweza kumsaidia rafiki yako anayesumbuliwa na ugonjwa wa akili.

Je, Kuna Sababu za Kuendelea Kuishi Unapokuwa na Ugonjwa Mbaya?

Chunguza uone jinsi wengine walivyokabiliana na ugonjwa mbaya.

Nifanye Nini Ikiwa Nina Tatizo la Afya? (Sehemu ya 1)

Vijana wanne wanaeleza kinachowasaidia kukabiliana na matatizo yao ya afya na kudumisha mtazamo unaofaa.

Nifanye Nini Ikiwa Nina Tatizo la Afya?—Sehemu ya 2

Soma masimulizi ya vijana ambao wamejifunza kukabiliana na matatizo makubwa ya afya huku wakiendelea kuwa na mtazamo unaofaa.

Nifanye Nini Ikiwa Nina Tatizo la Afya? (Sehemu ya 3)

Maelezo ya vijana watatu yatakusaidia kujifunza jinsi ya kukabiliana na matatizo ya afya.

Ninaweza Kukabilianaje na Ugonjwa au Ulemavu?

Je, unakabiliana na ugonjwa au ulemavu? Soma jinsi vijana wanne wanavyokabiliana na hali hizo.

“Najitahidi Kutofikiria Ugonjwa Wangu Kila Wakati”

Ni nini kinachomsaidia Elisa kuvumilia maumivu ya ugonjwa mbaya na hata wakati mwingine kusahau kwamba anaugua?

Kukabiliana na Ulemavu

Nina Nguvu Ingawa Mimi Ni Dhaifu

Mwanamke anayetumia kiti cha magurudumu apata “nguvu zinazopita zile za kawaida” kupitia imani yake.

Kuishi Bila Kuona

Je, kweli hisi za kusikia, kunusa, na kugusa za vipofu hukuzwa?

Macho ya Jairo—Njia Yake ya Kumwabudu na Kumtumikia Mungu

Ingawa anakabili aina mbaya sana ya ugonjwa wa kupooza ubongo, Jairo anafurahi kwa sababu maisha yake yana kusudi.

Kumtumikia Mungu Ndiyo Dawa Yake!

Onesmus alizaliwa akiwa na ugonjwa wa mifupa unaoitwa osteogenesis imperfecta. Ahadi za Mungu zilizoandikwa katika Biblia zimemtia moyo jinsi gani?

Kuishi Bila Kuona na Kusikia

James Ryan alizaliwa akiwa kiziwi na baadaye akawa kipofu. Ni nini ambacho kimempa kusudi halisi maishani?

“Bila Kitabu Hiki, Sijui Hali Yangu Ingekuwaje”

Sikiliza simulizi la mwanamume mmoja kipofu ambaye amefaidika kwa kusoma Biblia ya maandishi ya vipofu.

Yehova Amenipa Zaidi ya Ninavyostahili

Félix Alarcón alipata kusudi la maisha baada ya kupata aksidenti ya pikipiki iliyofanya apooze kuanzia shingoni kushuka chini.

Nilipata Tumaini Nilipokuwa Nimekata Tamaa

Akiwa na umri wa miaka 20, Miklós Aleksza alipooza kwa sababu ya aksidenti mbaya. Biblia ilimsaidiaje kuwa na tumaini bora la wakati ujao?

Utunzaji

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutunza Wazazi Waliozeeka?

Biblia ina mifano ya wanaume na wanawake wa imani waliofanya hivyo. Inatupa ushauri unaoweza kuwasaidia wale wanaowatunza wazee.

Ikiwa Mtoto Wako Ni Mlemavu

Chunguza matatizo matatu ambayo huenda ukakabiliana nayo na jinsi hekima ya Biblia inavyoweza kukusaidia.

Nifanye Nini Ikiwa Mzazi Wangu Ni Mgonjwa?

Vijana wengine pia wamekabili hali kama hiyo. Jifunze kilichowasaidia vijana wawili kukabiliana na hali kama hiyo.

Mpendwa Wako Anapokuwa na Ugonjwa Usiotibika

Washiriki wa familia wanaweza kufanya nini ili kumfariji na kumtunza mpendwa wao ambaye ana ugonjwa usiotibika? Wale wanaomtunza mgonjwa wanaweza kukabilianaje na hisia mbalimbali ambazo huenda wakawa nazo katika kipindi chote cha ugonjwa?

Magonjwa

Unaweza Kufanya Nini Magonjwa ya Mlipuko Yakitokea?

Unaweza kujilindaje kimwili, kihisia na kiroho magonjwa ya mlipuko yanapotokea?

Mambo Unayopaswa Kujua Kuhusu Magonjwa ya Akili

Mambo tisa yatakayokusaidia ufanikiwe kushughulika na magonjwa ya akili.

Anemia​—Visababishi, Dalili, na Tiba

Anemia ni nini? Je, inaweza kuzuiwa au kutibiwa?

Kisukari—Unawezaje Kuepuka Ugonjwa Huu?

Asilimia 90 ya watu wenye kiwango cha juu cha sukari kwenye damu hawajui wana tatizo hilo.

Mambo Unayopaswa Kujua Kuhusu Kifafa

Chunguza mambo kuhusu ugonjwa huo ambao mara nyingi unaeleweka vibaya.

Je, Unakabili Hatari ya Kupata—Ugonjwa wa Fizi?

Ugonjwa wa fizi ni mojawapo ya magonjwa ya mdomoni yanayowapata watu wengi ulimwenguni. Unasababishwa na nini? Unawezaje kujua ikiwa una ugonjwa huo? Unawezaje kujikinga ili usipatwe na ugonjwa wa fizi?

Mzio wa Chakula na Tatizo la Kumeng’enya Chakula—Tofauti ni Nini?

Kwa nini ni muhimu kuchunguzwa na daktari ili kubainisha ikiwa una mzio au tatizo la kumeng’enya chakula?

Unayopaswa Kujua Kuhusu Malaria

Unaweza kujilinda ikiwa unaishi au unapanga kutembelea nchi ambayo malaria imeenea.

Kukabiliana na Matatizo ya Kukoma kwa Hedhi

Kadiri ambavyo wewe na wapendwa wako mnajifunza kuhusu kipindi hiki cha mabadiliko, ndivyo mtakavyoweza kukabiliana kwa njia inayofaa na matatizo yanayohusiana nacho.

Kushuka Moyo

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kushuka Moyo?

Soma uone ni kwa nini watu hushuka moyo na jinsi ambavyo Biblia inaweza kukusaidia kukabiliana na huzuni nyingi.

Usikate Tamaa!

Ni nini kinachoweza kumfanya mtu atamani kufa?

Unapohisi Umechoshwa na Maisha

Licha ya magumu mbalimbali, maisha bado yana kusudi.

Ni Nini Kinachoweza Kuwasaidia Vijana Walioshuka Moyo?

Jifunze kutambua dalili na mambo yanayoweza kusababisha tatizo hilo. Ona pia mambo ambayo wazazi na watu wengine wanaweza kufanya ili kutoa msaada.

Nitaepukaje Maoni Yasiyofaa?

Unaweza kujifunza kuwa na mtazamo unaofaa ukifuata mapendekezo haya.

Matatizo ya Afya ya Akili ya Vijana Yameongezeka Sana—Biblia Inasema Nini?

Biblia inatoa msaada unaofaa kwa vijana wanaokabili matatizo ya akili.

Kwa Nini Mimi Hujikata Kimakusudi?

Kujiumiza kimakusudi ni tatizo linalowakumba vijana wengi. Kama una zoea hilo, unawezaje kupata msaada?

Ninaweza Kukabilianaje na Kushuka Moyo?

Mbinu hizi za kukabiliana na kushuka moyo zinaweza kukusaidia kuchukua hatua ili upone.

Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Nikishuka Moyo?

Kuna mambo matatu ambayo Mungu huandaa kwa ukarimu ili kukusaidia ukabiliane na kushuka moyo.

Ninataka Kufa​—Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Ikiwa Ninawazia Kujiua?

Biblia inaweza kutoa msaada gani unaofaa kwa mtu anayetaka kufa?

Mfadhaiko na Mkazo

Jinsi ya Kudhibiti Wasiwasi

Ni madokezo gani na mistari gani ya Biblia inayoweza kukusaidia kupunguza wasiwasi?

Jinsi Biblia Inavyoweza Kuwasaidia Wanaume Kukabiliana na Mahangaiko

Mahangaiko yamekuwa tatizo kubwa katika nyakati hizi za hatari. Ikiwa unakabili mahangaiko, je, Biblia inaweza kukusaidia?

Nikabilianaje na Upweke?

Unapohisi upweke, huenda ukaona kwamba huwezi kuwa na tumaini, furaha, au kuridhika​—lakini hilo si kweli.

Kukabiliana na Uchovu Unaopita Kiasi wa Kuogopa Kuambukizwa Corona

Tusipopambana na uchovu huo huenda hatua kwa hatua tukapoteza kichocheo cha kufuata tahadhari za kujilinda na ugonjwa wa COVID-19.

Jinsi ya Kukabiliana na Mkazo

Pitia baadhi ya kanuni muhimu zinazoweza kukusaidia kukabiliana na mkazo kwa njia inayofaa na labda hata kuupunguza.

Ninaweza Kukabilianaje na Mahangaiko?

Madokezo sita yanayoweza kukusaidia kufanya mahangaiko yakusaidie badala ya kukuumiza.

Je, Biblia Inaweza Kukusaidia Kukabiliana na Mahangaiko?

Mahangaiko yanaonekana kuwa sehemu ya maisha ya mwanadamu. Je, inawezekana kukabiliana nayo?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Mahangaiko

Kuwa na kiasi fulani cha mahangaiko kunaweza kuwa na faida; lakini mahangaiko yasiyofaa yanaweza kukudhuru. Unaweza kukabilianaje na mahangaiko kwa njia inayofaa?

Jinsi ya Kukabiliana na Mkazo

Ukitumia ushauri wa Biblia unaweza kukabiliana na mambo manne yanayosababisha mkazo.

Changamoto: Kulemewa na Shughuli

Ukijaribu kufanya kila kitu, huenda ukashindwa kutimiza mambo mengine. Unawezaje kukabiliana na mkazo?

Ninaweza Kuepukaje Uchovu wa Kupita Kiasi?

Ni nini kinachosababisha hali hii? Je, una uwezekano wa kupatwa na uchovu kupita kiasi? Ikiwa ndivyo, unaweza kufanya nini kukabiliana na hali hiyo?

Binti Yako Anapokuwa na Mkazo

Wasichana wengi huhisi wamelemewa na mabadiliko yanayowapata. Wazazi wanawezaje kuwasaidia kushughulikia mkazo huo?

Ninaweza Kukabilianaje na Mkazo?

Jifunze mambo makuu yanayosababisha mkazo na jinsi unavyoweza kukabiliana nao.

Je, Mimi Hutazamia Ukamilifu?

Unaweza kuelezaje tofauti kati ya kujaribu kufanya mambo kadiri uwezayo na kujiwekea viwango vya juu kupita kiasi?

Jinsi ya Kukabiliana na Mabadiliko

Hatuwezi kuepuka mabadiliko. Chunguza mambo ambayo wengine wamefanya ili kukabiliana nayo kwa mafanikio.

Jinsi ya Kushinda Hisia za Kutojiamini

Hatua tatu za kukusaidia ujiamini zaidi.

Matibabu

Je, Mkristo Anaweza Kukubali Matibabu?

Je, Mungu anajali matibabu tunayochagua?

Mtu Unayempenda Anapougua

Huenda kuonana na daktari na kulazwa hospitalini kukawa jambo gumu sana. Unawezaje kumsaidia rafiki au ndugu yako katika hali hiyo ngumu?

Kutiwa Damu Mishipani​—Madaktari Wanasema Nini Sasa?

Mashahidi wa Yehova wameshutumiwa kwa sababu ya kukataa kutiwa damu mishipani. Hata hivyo wataalamu wa mambo ya tiba wana yapi ya kusema kuhusiana na msimamo wetu wa kutotiwa damu mishipani?

Kukataa Kutiwa Damu Mishipani Huwasaidia Wagonjwa Ambao Ni Mashahidi Kupona Haraka

Ripoti zinaonyesha kwamba wagonjwa ambao hukataa kutiwa damu mishipani wana uwezekano mkubwa wa kupona na hukaa hospitalini kwa muda mfupi zaidi.