Hamia kwenye habari

Kukabiliana na Majanga

Kuteseka

Maoni ya Biblia Kuhusu Kuteseka

Je, Mungu anatujali tunapoteseka au kuumia?

Kuteseka kwa Wanadamu​—Je, Ni Adhabu Kutoka kwa Mungu?

Je, Mungu hutumia magonjwa na majanga kuwaadhibu watu kwa sababu ya dhambi zao?

Naweza Kukabilianaje na Msiba?

Vijana wanaeleza kilichowasaidia kukabiliana na msiba.

Tumaini Bora la Wakati Ujao

Kwa nini ahadi zinazopatikana katika Biblia ni tofauti na ahadi na utabiri unaotolewa na wanadamu?

Ona Wakati Ujao Utakavyokuwa Wenye Kupendeza

Ona kile ambacho Yesu atafanya ili kuirudisha familia ya wanadamu katika dunia paradiso.

Je, Ugaidi Utakwisha?

Hadi wakati ambao wasiwasi na ukatili utakapokwisha, Biblia inataja mambo mawili yanayoweza kuwasaidia watu kukabiliana na hali hiyo wanapoathiriwa na ugaidi.

Napaswa Kujua Nini Kuhusu Kutendewa Vibaya Kingono?​—Sehemu ya 2: Kupata Msaada

Soma kuhusu waliotendewa vibaya kingono na ambao wamepata msaada.

Je, Mungu Anajali Tunapoteseka?

Watu fulani wanadhani hakuna Mungu kwa sababu ya mateso wanayoona. Jifunze katika Neno la Mungu jinsi anavyosumbuka anapoona tukiteseka.

Kwa Nini Mungu Anaruhusu Kuteseka?

Biblia inajibu kwa njia yenye kuridhisha na yenye kufariji.

Kwa Nini Mungu Aliruhusu Maangamizi ya Wayahudi?

Watu wengi wamejiuliza kwa nini Mungu mwenye upendo aliruhusu watu wateseke hivyo. Biblia inatoa majibu yenye kuridhisha!

Mwisho wa Mateso Umekaribia!

Mungu ameahidi kuondoa mambo yote yanayosababisha mateso. Atachukua hatua hiyo lini, na atafanyaje hivyo?

Kifo cha Mpendwa

Mpendwa Wako Anapokufa

Ona mambo unayoweza kufanya ili kukabiliana na maombolezo.

Majanga Yanapotokea—Kufiwa na Mpendwa Wako

Watu watano wa familia ya Ronaldo walikufa katika aksidenti ya barabarani miaka 16 iliyopita. Ingawa bado anahisi pengo kubwa, amefaulu kuwa na amani moyoni.

Huzuni ya Kufiwa​—Jinsi ya Kukabiliana Nayo

Kuna mapendekezo ambayo yamewasaidia watu wengi kufaulu kukabiliana na huzuni ya kufiwa.

Je, Kuna Sababu za Kuendelea Kuishi Unapofiwa na Mtu Unayempenda?

Chunguza mambo matano yanayoweza kukusaidia unapofiwa na mtu unayempenda.

Mzazi Anapokufa

Kufiwa na mzazi ni jambo lenye kuhuzunisha sana. Ni nini kinachoweza kuwasaidia vijana kukabiliana na huzuni hiyo?

Watoto Wanavyoweza Kukabiliana na Huzuni

Biblia iliwasaidiaje vijana watatu kukabiliana na kifo cha mtu wa familia?

Mtoto Wako Anapokuuliza Kuhusu Kifo

Mambo manne yanayoweza kukusaidia kujua jinsi ya kumjibu mtoto wako na kumsaidia kukubaliana na kifo kinapotokea

Tumaini kwa Wafu—Unawezaje Kuwa na Uhakika?

Biblia inatoa sababu mbili za msingi zinazotusaidia kuamini kwamba kutakuwa na ufufuo.

Kitabu Kinachotoa Ushauri Bora na Faraja

Biblia hutoa ushauri bora na faraja kwa watu waliofiwa.

Misiba

Je, Biblia Inaweza Kukusaidia Kukabiliana na Mabadiliko Makubwa ya Hali ya Hewa?

Ushauri wa Biblia unaweza kukusaidia kabla ya mabadiliko makubwa ya hali ya hewa kutokea, yanapotokea, na baada ya kutokea.

Majanga Yanapotokea​—Unachoweza Kufanya Ili Uokoke

Mapendekezo haya yanaweza kuokoa maisha yako na ya wengine.

Je, Kuna Sababu za Kuendelea Kuishi Janga la Asili Linapotokea?

Biblia inatoa mwongozo unaoweza kukusaidia kushughulika na changamoto zinazotokana na janga la asili.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Misiba ya Asili?

Je, ni adhabu kutoka kwa Mungu? Je, Mungu huwasaidia waathiriwa wa misiba ya asili?

Kimbunga Nchini Filipino​—Imani Iliwawezesha Kushinda Matatizo

Waokokaji wanasimulia kilichotokea Kimbunga Haiyan kilipoipiga Filipino.