Hamia kwenye habari

Habari

 

Ripoti ya 3 ya Baraza Linaloongoza ya 2024

Katika ripoti hii, tutachunguza kanuni za Biblia zinazotuongoza tunapofanya maamuzi kuhusu mavazi na mapambo.

Mashahidi wa Yehova Walio Gerezani kwa Sababu ya Imani Yao​—Kulingana na Eneo

Nchi ambazo Mashahidi wa Yehova wamefungwa gerezani, na nyakati nyingine katika mazingira magumu, kwa sababu ya imani yao na kutumia uhuru wao wa msingi wa kibinadamu.