Ona video zinazopatikana

Tuige Imani Yao—Wanaume na Wanamuke Wenye Kuzungumuziwa mu Biblia

Tuige Imani Yao—Wanaume na Wanamuke Wenye Kuzungumuziwa mu Biblia

Hizi habari zinazungumuzia wanaume na wanamuke wenye kuzungumuziwa mu Biblia wenye walikuwa na imani sana. a Wale wanaume na wanamuke na mifano yao ya imani, inaweza kukusaidia na weye ukuwe na imani yenye nguvu na umukaribie Mungu.

[Maelezo ya chini]

a Mu hizi habari muko mambo ya kidogo-kidogo yenye haipatikane mu Biblia yenye itakusaidia uwazie mu akili namna mambo ilikuwa na itakusaidia uingie kabisa ndani ya hizi habari za watu wenye imani. Ile mambo imechunguzwa kwa uangalifu juu ya kuhakikisha kama inapatana na habari ya Biblia na pia habari za kihistoria na mambo yenye watu wenye kuchimbula vitu vya zamani wamepata.

Kuanzia Uumbaji Mupaka Garika

Abeli​—“Ijapokuwa Alikufa, Bado Anasema”

Tunaweza kujifunzi nini kutokana na Abeli na imani yake hata ikiwa Biblia aimuzungumuzie sana?

Enoko: ‘Alimupendeza Mungu Vema’

Ikiwa unahangaikia mahitaji ya familia ao unapigana vita ya kushikamana na yenye kuwa sawa, imani ya Enoko inaweza kukusaidia sana.

Noa“Alitembea Pamoja na Mungu wa Kweli”

Noa na bibi yake walikuwa na matatizo gani wakati wa kulea watoto wao? Namna gani walionyesha imani wakati wa kujenga safina?

Noa Alilindwa “Akiwa Salama Pamoja na Wengine Saba”

Noa na familia yake waliokoka namna gani kipindi kigumu zaidi ambacho wanadamu walikuwa hawajapitia?

Kuanzia Garika Mupaka Kutoka

Abrahamu​—“Baba ya Wale Wote Walio na Imani”

Abrahamu alionyesha imani yake namna gani? Ni katika njia gani wewe pia ungependa kuiga imani ya Abrahamu?

Sarah: ‘Wewe Ni Mwanamuke Mwenye Sura Nzuri’

Katika Misri, wakubwa katika utawala wa Farao walitambua kwamba Sara alikuwa murembo sana. Jambo lenye linatokea kisha linaweza kukushangaza.

Sara, Mama ya Wafalme

Sababu gani jina hilo mupya lilifaa Sara?

Rebeka: ‘Niko Tayari Kuenda’

Rebeka alikuwa na imani, lakini pia alionyesha sifa nyingi zenye kuwa za muzuri sana.

‘Tafazali, Musikilize Ndoto Hii’

Kukomalia kwa Yosefu katika familia ngumu kunatolea leo somo nzuri wale walio katika familia yenye bibi ao bwana ana watoto wake.

Namna Gani ‘Ninaweza Kufanya Ubaya Huu Mukubwa?’

Namna gani Yosefu alipinga juhudi ya bibi ya Potifa ya kumuangusha?

“Je, Tafsiri Si za Mungu?”

Ni nini kilimuwezesha Yosefu aeleze bila woga maana ya ndoto za Wamisri hawa: mukubwa wa watumishi wa kumupatia mufalme kinywaji, mukubwa wa watumishi wa kumupatia mufalme mukate, na Farao? Namna gani Yosefu alitoka katika gereza na kuingia katika nyumba ya mufalme katika siku moja tu?

“Mimi Niko Mahali pa Mungu?”

Kuna siku wivu, usaliti, ao chuki vimekuwa katika familia yako? Ikiwa ni hivyo, habari ya Biblia juu ya Yosefu inaweza kukusaidia.

Yobu​—“Sitaacha Uaminifu-Mushikamanifu Wangu!”

Namna gani habari ya Yobu katika Biblia inaweza kutusaidia kupambana na magumu, hali za nguvu, ao majaribu ingine ya imani?

Miriamu​—“Mumuimbie Yehova”!

Nabii Miriamu aliongozwa na roho ya Mungu ili kuongoza wanamuke Waisraeli mu wimbo wa ushindi kwenye Bahari Nyekundu. Miriamu ni mufano muzuri wa uhodari, imani na unyenyekevu.

Kuanzia Kutoka Mupaka Mufalme wa Kwanza wa Israeli

Rahabu ‘Alitangazwa Kuwa Muadilifu kwa Matendo’

Namna gani maisha ya Rahabu yanaonyesha kwamba hakuna mutu ambaye hafae kitu machoni pa Yehova? Tunaweza kujifunza nini kutokana na imani yake?

‘Nilisimama Kama Mama Katika Israeli’

Habari ya Biblia juu ya Debora inaweza kutufundisha nini kuhusu imani na uhodari?

Ruthu​—“Mahali Wewe Unapoenda, Nitaenda”

Sababu gani Ruthu alikuwa tayari kuacha familia yake na inchi yake? Alionyesha sifa gani zenye zilifanya Yehova apendezwe naye?

Ruthu​—‘Mwanamuke Mwema Sana’

Sababu gani ndoa ya Ruthu na Naomi ilikuwa ya maana sana? Ruthu na Naomi wanatufundisha nini kuhusu familia?

Hana Alimufungulia Mungu Moyo Katika Sala

Imani ya Hana katika Yehova ilimusaidia ashinde hali yenye ilionekana kuwa haiwezekane.

Samweli “Aliendelea Kukomaa Mbele ya Yehova”

Ni jambo gani ambalo halikukuwa la kawaida kuhusiana na utoto wa Samweli? Ni nini ilisaidia imani yake ikomae wakati alikuwa kwenye hema ya ibada?

Samweli Alikutana na Hali Zenye Kuvunja Moyo, Lakini Alivumilia

Sisi wote tunakutana na matatizo na hali zenye kuvunja moyo zenye zinajaribu imani yetu. Uvumilivu wa Samweli unaweza kutufundisha nini?

Kuanzia Mufalme wa Kwanza wa Israeli Mupaka Kuzaliwa kwa Yesu

“Vita Ni vya Yehova”

Ni nini alimusaidia Daudi amushinde Goliathi? Habari juu ya Daudi inatufundisha nini?

Abigaili Alitenda kwa Busara

Namna Abigaili alishugulikia matatizo katika ndoa yake, inatufundisha nini?

Eliya Alitetea Ibada Safi

Namna gani tunaweza kumuiga Eliya wakati tunapambana na watu wenye wanakataa mafundisho ya Biblia?

Eliya Alikesha, na Pia Alingojea

Namna gani Eliya alionyesha kwamba alikesha katika sala wakati alingojea Yehova atimize ahadi yake?

Mungu Alimufariji Eliya

Ni mambo gani yalifanya Eliya ashuke moyo na kufikia hata kuomba akufe?

Eliya Alivumilia Ukosefu wa Haki

Je, wewe pia umekwisha kutendewa bila haki? Je, unatamani sana kuona wakati ambapo Mungu atarekebisha mambo? Fikiria namna unavyoweza kumuiga Eliya, mutu muaminifu.

Makosa ya Yona Yalimufundisha

Yona aliogopa kutimiza mugawo wake, je, unamuelewa? Hadisi yake inatufundisha mambo ya lazima kuhusu uvumilivu na rehema ya Yehova.

Yona Alijifunza Kuwa Mwenye Rehema

Namna gani hadisi ya yona inatusaidia tujione namna tulivyo?

Esta Alihatarisha Uzima Wake ili Kulinda Watu wa Mungu

Ili kuonyesha upendo wa kujitoa kama Esta alivyofanya, inaomba imani na ujasiri.

Esta Alitenda kwa Hekima, Ujasiri na kwa Kujinyima

Namna gani Esta alitenda kwa kujinyima kwa ajili ya Yehova, na watu wake?

Kuanzia Kuzaliwa kwa Yesu Mupaka Kifo cha Mitume

Maria​—“Tazama! Mimi Ni “Kijakazi wa Yehova!”

Jibu lenye malaika Gabrieli alimutolea Maria linaonyesha nini kuhusu imani ya Maria? Ni sifa zingine gani za muzuri zenye alionyesha?

Maria Alifikiri na Kuamua Katika Moyo Wake

Mambo yenye Maria alijionea katika Bethlehemu yalifanya imani yake katika ahadi za Yehova ikuwe nguvu.

Maria Alivumilia Upanga

Mufano wa Maria, mama ya Yesu, unaweza kukusaidia ikiwa unapatwa na maumivu ya moyoni yaliyo kama ya ‘upanga murefu.’

Yosefu Alikuwa Baba Muzuri wa Familia, na Mwanaume Mwaminifu

Namna gani Yosefu aliilinda familia yake? Sababu gani alipeleka Maria na Yesu Misri?

Martha​—“Nimeamini”

Namna gani Maria alionyesha imani hata wakati wa taabu?

Maria Magdalene​—“Nimemuona Bwana!”

Ule mwanamuke muaminifu alipewa kazi ya maana ya kuambia wengine habari fulani ya muzuri.

Petro Alishinda Woga na Mashaka

Mashaka inaweza kuwa na nguvu mbaya. Lakini Petro alishinda woga na mashaka yake ya kumufuata Yesu.

Petro Alibaki Mushikamanifu Ijapokuwa Majaribu

Namna gani imani na ushikamanifu wa vilimusaidia Petro akubali karipio la Yesu?

Bwana Wake Alimufundisha Kusamehe

Ni jambo gani lenye Yesu alimufundisha Petro kuhusu musamaha? Namna gani Yesu alionyesha kwamba alimusamehe Petro?

‘Mutoto Wangu Mupendwa na Muaminifu Katika Bwana’

Nini ilimusaidia kijana Timotheo mwenye alikuwa na haya abadilike na kuwa mwangalizi Mukristo wa muzuri sana?