Ona video zinazopatikana

Sifa Zenye Kumupendeza Mungu

Namna ya Kuwa Mutu Muzuri Zaidi

Njia ya Maisha Yenye Furaha​—Kutosheka na Ukarimu

Watu wengi wanawaza kama ili mutu akuwe na furaha anapaswa kuwa na vitu vingi vya kimwili ao utajiri. Je, feza na vitu vya kimwili vinaleta furaha yenye kuendelea? Ukweli wa mambo unaonyesha nini?

Furahia Baraka ya Kutoa

Kutoa kunakuletea faida wewe na watu wengine. Kunatia nguvu uhusiano na urafiki. Namna gani unaweza kuwa mutoaji muchangamufu?

Biblia Inasema Nini Juu ya Kuonyesha Shukrani?

Mambo mengi yanahakikisha kwamba kuonyesha shukrani kunaleta faida. Namna gani kuonyesha shukrani kunaweza kukusaidia, na namna gani unaweza kukomalisha roho hiyo?

Tabia-Pole—Njia Yenye Kuonyesha Hekima

Haiko vyepesi kuzuia hasira wakati watu wanakutendea bila haki, hata hivyo Biblia inatia Wakristo moyo wakuwe wenye tabia-pole. Ni nini inaweza kukusaidia kukomalisha sifa hiyo yenye kumupendeza Mungu?

Njia ya Maisha Yenye Furaha​—Musamaha

Maisha yenye kujaa kasirani na kinyongo ni maisha yenye haina furaha na haiko muzuri kwa afya.

Kuwa Muaminifu Kuko na Faida?

Mifano ya watu fulani inaonyesha ulazima wa kuwa muaminifu.

Namna ya Kuishi Muzuri na Watu Wengine

Ubaguzi​—Onyesha Upendo

Kuonyesha upendo kunaweza kutusaidia kuachana na ubaguzi. Fikiria njia fulani zenye unaweza kutumia ili kuuonyesha.

Njia ya Maisha Yenye Furaha​—Upendo

Kuonyesha na kuonyeshwa upendo ni jambo la maana sana ili kuwa na furaha.

Kanuni Zinazotumika Sikuzote na Zenye Kufaa Kila Mutu—Upendo

Biblia inazungumuzia mara nyingi upendo, lakini haiko upendo wa kimapenzi ao wa ngono.

Rafiki Muzuri Ni Nani?

Watu wengi wanafikiri kwamba ni lazima kuwa na marafiki. Namna gani unaweza kuwa rafiki muzuri? Habari hii inazungumuzia kanuni ine zilizo katika Biblia ambazo zinaweza kukusaidia.

Namna ya Kuendeleza Amani Katika Nyumba Yenu

Hekima ya Biblia inaweza kuleta amani nafasi kwenye hakuna amani? Ona mambo watu wenye walitumikisha hekima hiyo wanasema.

Ukuwe Tayari Kusamehe

Ili tusamehe wengine, tunapaswa kufurahia mambo yenye walitufanyia ao kusema kama hayakutuumiza?