Hamia kwenye habari

Usahihi wa Kihistoria wa Biblia

Nchi na Maeneo ya Biblia

Misri na Historia ya Biblia

Je, historia na akiolojia zinakubaliana na yale yanayosemwa katika Biblia kuhusu nchi hiyo ya kale?

Ashuru na Historia ya Biblia

Je, historia inakubaliana na masimulizi ya Biblia kuhusu Ashuru la kale? Changanua mambo ya hakika.

Rekodi za Kale Zathibitisha Kuwepo kwa Kabila Fulani la Israeli

Ostraca za Samaria zinathibitisha habari za kihistoria zilizo katika Biblia.

Kuanguka kwa Ninawi

Milki ya Ashuru ilipokuwa imefikia kilele cha mafanikio, nabii wa Mungu alitabiri jambo ambalo halikutarajiwa.

Je, Wajua?—Julai 2015

Biblia inasema kwamba maeneo fulani ya Nchi ya Ahadi yalikuwa na misitu. Kwa kuwa eneo kubwa la nchi hiyo leo halina misitu, Je, masimulizi hayo ya Biblia ni sahihi?

Je, Wajua?—Aprili 2013

Kwa nini Ninawi la kale liliitwa “jiji la umwagaji wa damu”? Kwa nini Wayahudi wa kale walijenga ukuta kuzunguka paa zao?

Watu Wanaotajwa Katika Biblia

Je, Wajua?​—Machi 2020

Kuna uthibitisho gani tofauti na Biblia unaoonyesha kwamba Waisraeli walikuwa watumwa huko Misri?

Musa—Mtu Halisi au wa Hadithi?

Je, Kuna sababu nzuri ya Kuamini kwamba Musa alikuwa mtu halisi

Jina la Kibiblia Katika Mtungi wa Kale

Watafiti walipendezwa na vipande vya mtungi wa udongo uliotengenezwa miaka 3,000 iliyopita, vilivyochimbuliwa mwaka 2012. Ni nini kilichokuwa cha pekee sana kuhusu uvumbuzi huo?

Uvumbuzi wa Kiakiolojia Unaonyesha Mfalme Daudi Alikuwa Mtu Halisi

Wachambuzi fulani wamesema kwamba Daudi alikuwa mtu wa kuwaziwa ambaye alibuniwa miaka mingi baadaye, a tribal legend. Wavumbuzi wamegundua nini?

Je, Wajua?—Februari 2020

Uvumbuzi wa vitu vya kale unathibitishaje kwamba Belshaza wa Babiloni alikuwa mtu halisi na alikuwa mfalme?

Tunayojifunza Kutokana na Historia—Koreshi Mkuu

Koreshi alikuwa nani, na ni unabii gani wenye kushangaza ambao huenda ulitolewa miaka 150 hivi kabla ya yeye kuzaliwa?

Uthibitisho Mwingine wa Akiolojia

Huenda usijue Tatenai alikuwa nani, hata hivyo, vitu ambavyo wanaakiolojia wamechimbua vinatoa uthibitisho wenye nguvu kwamba alikuwa mtu halisi.

Je, Yohana Mbatizaji Alikuwa Mtu Halisi?

Yosefo, mwanahistoria wa karne ya kwanza alimtambua Yohana Mbatizaji kuwa mtu halisi. Sisi pia tunaweza kuwa na uhakika huo.

Je, Yesu Alikuwa Mtu Halisi?

Watu mashuhuri walioishi zamani na sasa wanasema nini kuhusu jambo hilo?

Je, Biblia Ina Habari Sahihi Kuhusu Maisha ya Yesu?

Chunguza hoja zinazohusu masimulizi ya Vitabu vya Injili na hati za kale zaidi zinazojulikana.

Alikuwa wa Familia ya Kafaya

Kupatikana kwa sanduku lenye mifupa ya Miriamu kunathibitisha kwamba Biblia inazungumza kuhusu watu halisi waliotoka katika familia halisi.

Je, Wajua?—Novemba 2015

Kwa nini Yosefu alinyoa kabla ya kwenda kwa Farao? Biblia inaposema kwamba Baba ya Timotheo alikuwa “Mgiriki,” Je, hilo linamaanisha kwamba alizaliwa Ugiriki?

Je, Wajua?—Mei 2015

Je, elimu ya vitu vya kale inaunga mkono Biblia? Simba walioishi katika nchi zinazotajwa katika Biblia walianza kutoweka pindi gani?

Matukio ya Biblia

Simulizi la Noa na Gharika Kuu​—Je, Ni Hekaya Tu?

Biblia inasema kwamba kuna wakati ambapo Mungu alileta gharika kuu iliyoharibu waovu. Ni mambo gani hakika yanayotajwa katika Biblia kuthibitisha kwamba ilitoka kwa Mungu?

Je, Lugha Zote Zilianzia Kwenye “Mnara wa Babeli”?

Mnara wa Babeli ni nini? Ni nini chanzo hasa cha lugha za wanadamu?

Je, Wajua?​—Juni 2022

Je, Waroma wangeruhusu mtu kama vile Yesu ambaye walikuwa wamemtundika mtini, azikwe kwa njia ya kawaida?

Sababu za Kuitegemea Biblia—Unabii Uliotimizwa

Biblia ina unabii mwingi na mambo yaliyotabiriwa. Je, kuna unabii uliotimia?

Mchongo wa Jiwe Katika Misri ya Kale Unaunga Mkono Simulizi la Biblia

Pata kujua jinsi mchongo wa Misri ya kale unavyounga mkono unyoofu wa Biblia.

Je, Biblia Inafafanua kwa Usahihi Hali ya Wayahudi Walipokuwa Uhamishoni Babiloni?

Je, kuna hati zinazothibitisha hali ambazo Mungu alisema kwamba Wayahudi wangekabili wakiwa uhamishoni Babiloni?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji—Novemba 2015

Ni nini kinachothibitisha kwamba Waisraeli walishinda jiji la kale la Yeriko

baada ya kulizingira kwa muda mfupi?

Maisha Katika Nyakati za Biblia

Gari Ambalo Towashi Mwethiopia Alitumia

Ni gari la aina gani ambalo towashi Mwethiopia alikuwa akitumia Filipo alipomkaribia?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji​—⁠Oktoba 2023

Waisraeli walipokuwa nyikani, je, walikula chakula kingine mbali na mana na kware?

Utengenezaji Matofali wa Kale Waunga Mkono Rekodi ya Biblia

Matofali na njia za kutengeneza matofali zilizopatikana katika magofu ya Babiloni la kale zinaungaje mkono rekodi ya Biblia?

Je, Wajua?​—Juni 2022

Miaka na miezi ilihesabiwaje katika nyakati za Biblia?

Mihuri ya Kale Ilikuwa Nini?

Kwa nini mihuri ya kale ilikuwa muhimu sana, na wafalme na watawala waliitumiaje?

‘Kutoka Katika Milima Utachimba Shaba’

Vitu ambavyo wataalamu wamefukua hivi karibuni vinatusaidia kuelewa matumizi ya shaba katika nyakati za Biblia.

Je, Wajua?​—Oktoba 2017

Kwa nini Yesu alishutumu zoea la Wayahudi la kuapa?

Je, Wajua?​—Mnara wa Mlinzi Na. 5 2017

Je, haikuwa dharau kwa Yesu kuwaita watu wasio Wayahudi “mbwa wadogo”?

Je, Wajua?​—Juni 2017

Kwa nini Yesu aliwaita wanabiashara waliouza mifugo katika hekalu la Yerusalemu “wanyang’anyi”?

Je, Wajua?​—Oktoba 2016

Katika karne ya kwanza, serikali ya Roma iliwapa uhuru kadiri gani Wayahudi waliokuwa Yudea? Na je, ni kweli kwamba zamani mtu angeweza kupanda magugu katika shamba la mtu mwingine?

Je, Wajua?—Desemba 2015

Je, kweli Wayahudi ‘walitoka kila taifa kati ya yale yaliyo chini ya mbingu’ ili kuja Yerusalemu katika Pentekoste ya mwaka wa 33 W.K.? Maelfu ya watu waliokuja Yerusalemu kwa ajili ya sherehe za Kiyahudi walikaa wapi?

Je, Wajua?—Machi 2015

Uraia wa Roma ulikuwa na faida gani kwa mtume Paulo? Wachungaji walilipwa namna gani katika nyakati za Biblia?

Je, Wajua?—Mei 2014

Kwa nini Wayahudi walimwomba Pilato aagize Yesu avunjwe miguu? Je, kweli Daudi alimuua Goliathi kwa kutumia kombeo?

Je, Wajua?—Februari 2014

Ni udi wa aina gani uliotumiwa nyakati za Biblia? Ni matoleo gani yaliyokubaliwa hekaluni huko Yerusalemu?

Je, Wajua?—Januari 2014

Michango ya hekalu ilitolewaje katika siku za Yesu? Je, Luka, mwandikaji wa Biblia alikuwa sahihi kihistoria?