Hamia kwenye habari

Tafsiri za Biblia

Kanuni za Kutafsiri Biblia

Kanuni tano za msingi zilizotumiwa kutokeza Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.

Biblia​—Kwa Nini Ziko Nyingi?

Mambo fulani ya msingi yatakusaidia kuelewa kwa nini kuna tafsiri mbalimbali za Biblia.

Je, Tafsiri ya Ulimwengu Mpya Ni Sahihi?

Kwa nini Tafsiri ya Ulimwengu Mpya inatofautiana na tafsiri nyinginezo za Biblia?

Hati ya Kale Yaunga Mkono Jina la Mungu

Angalia uthibitisho unaoonyesha kwamba jina la Mungu linapaswa kuwepo katika “Agano Jipya.”

Wamekabidhiwa Kazi ya Kutafsiri “Maneno Matakatifu ya Mungu”—Waroma 3:2

Katika karne iliyopita Mashahidi wa Yehova wametumia tafsiri kadhaa za Biblia. Kwa nini walitafsiri Biblia katika Kiingereza cha kisasa?

Peshitta ya Kisiria—Inafunua Historia ya Utafsiri wa Biblia

Biblia hii ya kale inathibitisha kwamba Biblia fulani za kisasa zimeongeza mistari ambayo haikuwepo katika maandishi ya awali.

Biblia ya Bedell—Hatua Mojawapo Katika Kuelewa Vizuri Biblia

Kwa miaka 300, tafsiri hiyo ilikuwa muhimu sana.

Tafsiri ya Biblia Iliyopotea Yapatikana

Tazama hadithi yenye kusisimua ya jinsi tafsiri ya Biblia iliyopotea ilivyopatikana zaidi ya miaka 200 baadaye.

Elias Hutter na Biblia Zake Bora Sana za Kiebrania

Elias Hutter, msomi wa karne ya 16, alichapisha matoleo mawili ya Biblia katika Kiebrania ambayo yalikuwa ya pekee sana.

Maandishi ya Kale Yenye Thamani

Soma uone jinsi tafsiri ya kale zaidi ya Biblia katika Kigeorgia ilivyopatikana.

Kutangaza Neno la Mungu Katika Hispania ya Enzi za Kati

Watoto walionakili Maandiko kwenye mabamba shuleni walifanyaje kazi inayofanana na wale walioingiza Biblia kisiri nchini Hispania?

Biblia ya Kigeorgia

Hati za kale za Biblia katika Kigeorgia ziliandikwa katika miaka ya 450 W.K. au hata mapema zaidi.

Ubora wa Biblia Mpya Watambuliwa Nchini Estonia

Tafsiri ya Ulimwengu Mpya katika Kiestonia ilichaguliwa kushindania tuzo ya Language Deed of the Year Award nchini Estonia katika mwaka wa 2014.

Jina la Mungu Lajulishwa Katika Kiswahili

Pata kujua jinsi jina la Mungu, Yehova, lilivyoingia katika Biblia ya Kiswahili.