Ona video zinazopatikana

Biblia

Chanzo na Ukweli

Biblia Imebadilishwa ao Kugeuzwa?

Kwa kuwa Biblia ni kitabu cha zamani sana, namna gani tunaweza kuwa hakika kama makosa hayakuingia katika ujumbe wake?

Sayansi Inapatana na Biblia?

Biblia inafundisha mambo fulani ambayo hayapatane na sayansi?

Biblia Inafundisha Kama Dunia Iko Tambarare?

Hii kitabu ya zamani inasemaka kweli?

Kusoma na Kuelewa Biblia

Ni Mambo Gani Yanayoweza Kukusaidia Uelewe Biblia?

Hata uwe mutu wa hali gani, unaweza kuelewa ujumbe wa Mungu unaopatikana katika Maandiko Matakatifu.

Maneno “Jicho kwa Jicho” Iko na Maana Gani?

Maneno “jicho kwa jicho” ilitia watu moyo walipize kisasi?

Amri Kumi za Mungu Njo Nini?

Zilipewa wanani? Wakristo wanapaswa kuzishika?

Unabii na Alama

Namba 666 Maana Yake Nini?

Biblia inaonyesha maana ya namba 666 na alama ya munyama wa pori.

Mwisho wa Dunia

Armagedoni Ni Nini?

Neno Armagedoni inapatikana mara moya tu, lakini ile vita inazunguziwa mu Maandiko.

Dunia Itaharibiwa?

Majibu ya Biblia inaweza kukushangaza.

Watu, Mahali, na Vitu

Wanamuke Wenye Kuzungumuziwa mu Biblia Wanatufundisha Nini?

Ona tofauti kati ya wanamuke fulani wenye walikuwa mufano muzuri na wengine wenye walikuwa mufano mubaya kabisa.

Bibila Inasema Nini Kuhusu Bikira Maria?

Watu fulani wanasema kama Maria hakukuwa na zambi wakati alimuzala Yesu. Biblia inafundisha vile?

Habari Kuhusu Noa na Garika Kubwa​—Ni Mambo ya Kuwazia-wazia Tu?

Biblia inasema kama zamani Mungu aliletaka garika kubwa juu ya kuharibu watu wabaya. Biblia inasema mambo gani yenye kuonyesha kama Garika ilitoka kwa Mungu?

Mungu Alitumia Mageuzi ili Kuumba Vitu Mbalimbali?

Biblia haipinge mawazo ya watu wenye kujifunza sayansi yenye kuonyesha kama mabadiliko inatokeaka mu kila aina ya kiumbe.

Kanuni

Je, Biblia Inaweza Kusaidia Familia Yangu Iwe na Furaha?

Mashauri yenye hekima ya Biblia yamesaidia wanaume na wanawake wengi wawe na furaha katika familia zao.

Makuta Njo Chanzo ya Mambo Yote ya Mubaya?

Watu fulani wanasemaka kama Biblia inasema “feza [makuta] ni chanzo cha mambo ya mubaya.” Lakini Biblia haiseme vile.

Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Kupambana na Matatizo ya Feza?

Furaha katika maisha haitokane na feza, lakini kutumia kanuni hizo ine kunaweza kukusaidia utumie vizuri feza zako.

Je, Biblia Inaweza Kukusaidia Ikiwa Una Ugonjwa wa Siku Nyingi?

Ndiyo! Jifunze mambo matatu yanayoweza kukusaidia upambane na ugonjwa wa siku nyingi.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kasirani?

Kuko wakati mutu anaweza kuwa na sababu ya kukasirika? Unapaswa kufanya nini wakati kasirani yako inaanza kupanda?

Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Ninapovunjika Moyo?

Kuna mambo matatu ambayo Mungu anatutolea ili kutusaidia tupambane na kuvunjika moyo.

Dini, Mungu, ao Biblia, Vinaweza Kunisaidia Niwe na Furaha?

Ona namna ambavyo urafiki pamoja na Mungu unavyoweza kufanya maisha yako ya sasa na ya wakati ujao yawe mazuri.