Ona video zinazopatikana

Imani na Ibada

Dini

Dini Zote Ziko Sawa? Zote Zinapelekaka kwa Mungu?

Mambo mbili yenye Biblia inazungumuzia inatusaidia kupata jibu.

Ni Lazima Kabisa Kuwa mu Dini Fulani?

Mutu anaweza kumuabudu Mungu bila kuwa mu dini fulani?

Namna Gani Naweza Kupata Dini ya Kweli?

Ni ‘yenye naona tu kuwa dini ya muzuri’?

Mupinga-Kristo Ni Nani?

Anakuja, ao amekwisha kufika?

Sala

Je, Mungu Atanisaidia Ikiwa Ninasali?

Je, Mungu anahangaikia matatizo yetu?

Sababu Gani Ni Vizuri Kusali? Je, Mungu Atajibu Sala Zangu?

Unapaswa kufanya mambo fulani ili Mungu ajibu sala zako.

Sababu Gani Tunapaswa Kusali Katika Jina la Yesu?

Ona namna ambavyo kusali katika jina la Yesu kunaonyesha kwamba tunamuheshimu Mungu.

Je, Ninapaswa Kusali kwa Watakatifu?

Tunapaswa kusali kwa nani? Ona yale ambayo Biblia inasema.

Sababu Gani Mungu Hasikilize Sala za Watu Fulani?

Jifunze juu ya sala ambazo Mungu hasikilize na watu ambao Mungu hasikilize.

Wokovu

Yesu Anatuokoa Namna Gani?

Juu ya nini tuko na lazima Yesu atutetee? Kama tu unaamini Yesu ni kusema utaokolewa?

Sababu Gani Yesu Alikufa?

Namna gani kwa kweli, kifo cha Yesu kinatulea faida?

Namna Gani Kifo ya Yesu Ni Zabihu ya Ukombozi kwa Ajili ya Watu Wengi?

Namna gani bei ya ukombozi inatukomboa kutoka mu zambi?

Ubatizo Maana Yake Nini?

Mutu anapaswa kubatizwa namna gani na wakati gani? Ubatizo unamalizaka zambi? Biblia inasema nini juu ya kubatiza watoto?

Zambi na Musamaha

Zambi Ni Nini?

Zambi fulani ni kubwa kuliko zingine?

Maneno “Jicho kwa Jicho” Iko na Maana Gani?

Maneno “jicho kwa jicho” ilitia watu moyo walipize kisasi?

Kuvuta Tumbako Ni Zambi?

Biblia haizungumuzie kuvuta tumbako, sasa inawezekana namna gani kujibia ile ulizo?

Mazoea ya Dini

Biblia Inasema Nini Juu ya Kutoa Sehemu ya Kumi?

Utashangala kuona tofauti kati ya mambo yenye Biblia inasema na mawazo ya watu.

Biblia Inafundisha Nini Kuhusu Kusema Katika Luga?

Zawadi ya kusema katika luga njo inatambulisha Wakristo wa kweli?

Biblia Inasema Nini Juu ya Kutoa?

Ni kutoa ya namna gani njo inafurahishaka Mungu?

Amri Kumi za Mungu Njo Nini?

Zilipewa wanani? Wakristo wanapaswa kuzishika?