Ni Nani Wanafanya Mapenzi ya Yehova Leo?

Mashahidi wa Yehova wanapatikana mu dunia yote na wanatoka mu makabila yote na mu hali na desturi zote. Ni nini imewasaidia wakuwe na umoja?

Mapenzi ya Mungu Ni Nini?

Mungu anataka mapenzi yake ijulikane mu dunia yote. Mapenzi yake ni nini, na leo ni nani wanafundisha wengine juu ya ile mapenzi?

LESSON 1

Mashahidi wa Yehova Ni Watu wa Namna Gani?

Unajua Mashahidi wa Yehova ngapi? Ni mambo gani unajua kabisa juu yetu?

LESSON 2

Juu ya Nini Tunaitwa Mashahidi wa Yehova?

Ona sababu tatu zenye zilituchochea kukamata jina hilo.

LESSON 3

Namna Gani Kweli ya Biblia Ilipatikana Tena?

Namna gani tunaweza kuwa hakika kama tunaelewa muzuri mambo yenye Biblia inafundisha?

LESSON 4

Juu ya Nini Tulikuwa na Lazima ya Biblia Tafsiri ya Ulimwengu Mupya?

Ni nini inafanya tafsiri hiyo ya Neno la Mungu ikuwe tofauti kabisa na tafsiri zingine?

LESSON 5

Kama Unakuja ku Mikutano Yetu Utapata Faida Gani?

Tunakutana pamoja ili kujifunza Biblia na kutiana moyo. Tutakukaribisha kwa furaha!

LESSON 6

Kupitisha Wakati Pamoja na Ndugu na Dada Zetu Kunatuletea Faida Gani?

Neno la Mungu linatia Wakristo moyo wakuwe wanakutana pamoja. Ujifunze namna unaweza kupata faida kwa kufanya vile.

LESSON 7

Mikutano Yetu Inafanywa Namna Gani?

Umekwisha kujiuliza ni nini inafanyika ku mikutano yetu? Kwa kweli, utafurahia mafundisho ya muzuri sana ya Biblia yenye utapata kule.

LESSON 8

Juu ya Nini Tunavaa Muzuri Wakati Tunaenda Kwenye Mikutano Yetu?

Mungu anahangaikia namna yetu ya kuvaa? Ujifunze kanuni za Biblia zenye zinatuongoza wakati tunachagua namna yetu ya kuvaa na kujipamba.

LESSON 9

Tunaweza Kufanya Nini ili Kutayarisha Muzuri Mikutano?

Kutayarisha mikutano mbele ya wakati kutafanya mikutano hiyo ikuletee faida kabisa.

LESSON 10

Ibada ya Familia Ni Nini?

Ujifunze namna mupango huo unaweza kukusaidia kutia nguvu urafiki wako pamoja na Mungu na kutia nguvu uhusiano kati ya watu wa familia yako.

LESSON 11

Juu ya Nini Tunafanyaka Mikusanyiko Mikubwa?

Kila mwaka tunakusanyika mara tatu, kwa ajili ya matukio ya pekee. Mikusanyiko hiyo inaweza kukuletea faida gani?

LESSON 12

Kazi Yetu ya Kuhubiri Ufalme Inafanywa Namna Gani?

Tunaiga njia zenye Yesu alitumia ili kuhubiri wakati alikuwa ku dunia. Njia fulani kati ya njia hizo za kuhubiri ni gani?

LESSON 13

Painia Ni Nani?

Mashahidi fulani wanahubiri saa 30, 50, ao hata zaidi kwa mwezi. Ni nini inawachochea kufanya vile?

LESSON 14

Ni Masomo Gani Yenye Kutayarishwa kwa Ajili ya Mapainia?

Wale wenye wanatumia wakati wao wote ili kufanya kazi ya kuhubiri Ufalme, wanapewa mazoezi gani?

LESSON 15

Wazee wa Kutaniko Wanafanyaka Kazi Gani?

Wazee ni wanaume wenye kukomaa kiroho wenye wanaongoza kutaniko. Wanatoa musaada gani?

LESSON 16

Watumishi wa Huduma Wanafanyaka Kazi Gani?

Watumishi wa huduma wanasaidia kutaniko. Ujifunze namna kazi yao inaletea faida wale wenye kuja kwenye mikutano.

LESSON 17

Waangalizi wa Muzunguko Wanatusaidia Namna Gani?

Juu ya nini waangalizi wa muzunguko wanatembeleaka makutaniko? Namna gani unaweza kupata faida wakati wanatembelea kutaniko?

LESSON 18

Tunafanyaka Nini ili Kusaidia Ndugu na Dada Zetu Wakati wa Taabu?

Wakati musiba unatokea, tunafanya mipango bila kukawia ili kutolea musaada wale wenye wamepatwa na musiba huo na tunatumia Biblia ili kuwafariji. Namna gani

LESSON 19

Mutumwa Muaminifu na Mwenye Busara Ni Nani?

Yesu aliahidi kama angeweka mutumwa mwenye angetoa chakula cha kiroho kwa wakati wenye kufaa. Mutumwa huyo anafanya vile namna gani?

LESSON 20

Namna Gani Baraza Lenye Kuongoza Linafanya Kazi Leo?

Wakati wa mitume, kikundi kidogo cha wanaume wenye kukomaa na mitume walifanyiza baraza lenye kuongoza lenye lilisimamia kutaniko la Kikristo. Mambo iko namna gani leo?

LESSON 21

Beteli Ni Nini?

Beteli ni nafasi ya pekee yenye kuwa na kusudi fulani la maana sana. Ujifunze mambo mingi juu ya wale wenye kutumikia ku Beteli.

LESSON 22

Ni Kazi Gani Zinafanywa ku Biro ya Tawi?

Wageni wanakaribishwa ili kutembelea biro zetu za tawi, na ndugu ao dada mumoja anawatembeza ili waone kazi mbalimbali zenye zinafanywa. Tunakualika utembelee biro ya tawi!

LESSON 23

Namna Gani Vichapo Vyetu Vinaandikwa na Kutafsiriwa?

Tunatafsiri vichapo vyetu mu luga zaidi ya 900. Juu ya nini tunajikaza sana kufanya vile?

LESSON 24

Feza Zenye Zinasaidia Kazi Yetu ya Mu Dunia Yote Iendelee Zinatokaka Wapi?

Kuhusu kutoa feza za kusaidia kazi yetu, ni nini inafanya tengenezo letu likuwe tofauti na dini zingine?

LESSON 25

Juu ya Nini Tunajenga Majumba ya Ufalme na Ni Nini Inatusaidia Kuijenga?

Juu ya nini nafasi yetu ya ibada inaitwa Jumba la Ufalme. Ujifunze mambo mingi zaidi juu ya namna ile majengo yenye haiko makubwa-makubwa sana na yenye haipambwe kwa namna ya kushangaza, inasaidia makutaniko yetu.

LESSON 26

Tunaweza Kufanya Nini ili Kutunza Jumba Letu la Ufalme?

Jumba la Ufalme lenye kuwa safi na lenye kutunzwa muzuri linamutukuza Mungu wetu. Ni mipango gani yenye inafanywa ili kutunza Jumba lenu la Ufalme?

LESSON 27

Maktaba ya Jumba la Ufalme Inaweza Kutusaidia Namna Gani?

Unapenda kutafuta habari ili kujua Biblia muzuri zaidi? Uende ku maktaba ya Jumba la Ufalme!

LESSON 28

Ni Habari Gani Zenye Kupatikana ku Site Yetu ya Enternete?

Unaweza kujifunza mambo mingi juu yetu na juu ya mambo yenye tunaamini na kupata majibu juu ya maulizo ya Biblia.

Utafanya Mapenzi ya Yehova?

Yehova Mungu anakupenda kabisa. Namna gani unaweza kuonyesha kama unapenda kumufurahisha mu maisha yako ya kila siku?