Ona video zinazopatikana

Mawazo juu ya Chanzo cha Uzima

Mwanasayansi wa Magonjwa ya Ubongo Anafasiria Imani Yake

Profesa Rajesh Kalaria anazungumuza kuhusu kazi na imani yake. Ni nini ilimuchochea kupenda mambo ya sayansi? Ni nini ilimufanya akuwe na mashaka kuhusu chanzo cha uzima?

Irène Hof Laurenceau: Munganga wa Upasuaji wa Mifupa Anaeleza Imani Yake

Wakati alifanya kazi na viungo vya muguu vyenye kutengenezwa na wanadamu, alianza kushakia mambo yenye alikuwa anaamini.

Mwanasayansi wa Kiini-Tete Anaeleza Imani Yake

Profesa Yan-Der Hsuuw aliamini mageuzi, lakini uchunguzi wake wa mambo ya sayansi ulimusaidia kubadilisha mawazo yake.

Muganga Anayepasua Watu Anaeleza Imani Yake

Kwa miaka mingi, Muganga Guillermo Perez aliamini mageuzi, lakini sasa anaitika kwamba mwili wetu uliumbwa na Mungu. Ni nini iliyomufanya abadilishe mawazo yake?

Muganga wa Figo Anaeleza Imani Yake

Sababu gani muganga ambaye hakuamini kwamba kuna Mungu alianza kujiuliza maisha yana maana gani? Ni nini kilimufanya abadilishe maoni yake juu ya mambo hayo?

Mutengenezaji wa Programu za Ordinatere Anafasiria Imani Yake

Wakati alianza kazi yake akiwa mwanasayansi mwenye kufanya utafiti kuhusu elimu ya hesabu, Fan Yu hakuamini kama Mungu iko. Sasa anaamini kwamba uzima uliumbwa na Mungu. Sababu gani?

Mwanasayansi Anayefanya Uchunguzi Katika Mambo ya Fizikia Anaeleza Imani Yake

Kuna mambo mawili ya maana katika mazingira ambayo yalimusadikisha Wenlong He kwamba kuna Muumbaji.

Mwanasayansi wa Bioteknolojia Anaeleza Imani Yake

Kujifunza mufumo wa kulinda mwili kulimufanya Musomi Hans Kristian Kotlar ajiulize maulizo juu ya namna uzima ulianza. Namna gani kujifunza Biblia kulimusaidia apate majibu ya maulizo yake?

Mwanasayansi wa Mikrobiolojia Anaeleza Imani Yake

Muundo wa ajabu wa chembe ambao haukutazamiwa kuwa hivyo ulimufanya Feng-Ling Yang, mwanasayansi katika kisiwa cha Taiwan, abadilishe mawazo yake juu ya mageuzi. Sababu gani?

Mwanasayansi Anaeleza Imani Yake

Ni jambo gani lilimufanya muchunguzi huyo afikirie tena namna uzima ulianza, na ni mambo gani yaliyomusadikisha kwamba Biblia iliongozwa na roho ya Mungu?

Mwanasayansi wa Hesabu Anaeleza Imani Yake

Sababu gani Mwanasayansi Gene Hwang anaona kama imani yake ya dini haipingane na mambo alijifunza kwenye masomo?

Mupigaji Muzuri wa Piano Anaeleza Imani Yake

Muziki wenyewe ulimusadikisha mutu huyo ambaye zamani hakuamini kuna Mungu aamini kuna Muumbaji. Ni nini kilimuchochea aamini kwamba Biblia iliandikwa kwa kuongozwa na roho ya Mungu?