Kazi Yetu ya Kuhubiri

KAZI YA KUHUBIRI

Kampeni Yenye Mafanikio Kwenye Eneo la Lapland

Soma jinsi wenyeji wa Lapland walivyoitikia jitihada za pekee zilipofanywa kusaidia jamii yao.

KAZI YA KUHUBIRI

Kampeni Yenye Mafanikio Kwenye Eneo la Lapland

Soma jinsi wenyeji wa Lapland walivyoitikia jitihada za pekee zilipofanywa kusaidia jamii yao.

Vigari vya Kukokotwa “Vyaenda Likizo” Nchini Ujerumani

Mashahidi wa Yehova walisimamisha vigari vya kukokotwa katika majiji ya Berlin, Cologne, Hamburg, Munich, na katika majiji mengine. Je, vigari hivyo vya kukokotwa vina matokeo katika maeneo ambayo Wajerumani wanaenda likizo?

Jiji Lenye Hazina Laonyesha “Zawadi ya Mungu kwa Wanadamu”

Wanafunzi na walimu walivutiwa na Biblia, machapisho ya Biblia, na video zilizoonyeshwa kwenye maonyesho ya vitabu ya Gaudeamus nchini Romania.

Kuwafikia Wasinti na Waromani Nchini Ujerumani

Katika kampeni ya pekee mwaka wa 2016, Mashahidi walisambaza trakti 3,000 hivi wakazungumza na Wasinti na Waromani zaidi ya 360, na kuanzisha mafunzo ya Biblia 19.

Madini ya Aina Tofauti Yaonyeshwa Nchini Botswana

Watoto walivutiwa na vibonzo vya Uwe Rafiki ya Yehova, ambavyo vinafundisha jinsi ya kutumia kanuni za Biblia.

Mabaharia Wapata Habari Njema

Ili kuwahubiria mabaharia ambao kila wakati wanasafiri, mashahidi wameanzisha programu za kufundisha Biblia katika bandari kubwa. Mabaharia wameitikiaje?

Kuwafundisha Watu Kuhusu Tumaini Letu Linalotegemea Biblia Jijini Paris

Mashahidi wa Yehova washiriki katika kampeni ya pekee ya kuwaeleza watu kuhusu tumaini lao linalotegemea Biblia la kuishi katika dunia wakati ambapo hakutakuwa na uchafuzi wa mazingira

Kuwahubiria Wenyeji wa Asili wa Kanada

Mashahidi wa Yehova wanawaambia wengine ujumbe wa Biblia wenye kufariji katika lugha zao za kienyeji ili kuwasaidia wajifunze kumhusu Muumba.

Sherehe na Habari Kuhusu Wenyeji wa Asili wa Amerika, New York City

Kwenye tukio la 2015 la ‘Lango la Mataifa,’ wengi walivutiwa na meza ya Mashahidi wa Yehova ambayo ilikuwa na machapisho katika lugha za Wenyeji wa Asili wa Amerika.

Wanatembea Ndani ya Bahari Kuhubiri Habari Njema

Mashahidi wa Yehova wana njia ya pekee ya kufikisha ujumbe wa Biblia kwa wanaoishi katika visiwa vidogo vya Halligen.

Kuhubiri Ujumbe wa Biblia Katika Maeneo ya Kaskazini Zaidi ya Ulaya na Amerika

Lichi ya hali ngumu, Mashahidi wa Yehova hutumia wakati mwingi katika maeneo ya mbali ili kuwasaidia watu wanaotaka kujifunza Biblia.

Kutangaza JW.ORG Katika Maonyesho ya Vitabu ya Toronto

Mashahidi wa Yehova walitoa machapisho, wakaonyesha video, na kuwaonyesha watu jinsi ya kutumia tovuti ya jw.org. Wageni waliitikiaje?

Zaidi ya Vigari 165,000 vya Kukokotwa

Ingawa huduma ya nyumba kwa nyumba bado ndiyo njia ya msingi ambayo Mashahidi wa Yehova hutumia kujulisha kweli za Biblia, vigari vya kukokotwa vyenye machapisho vimekuwa na matokeo makubwa katika kuwafikia watu.

Mashahidi wa Yehova Waongezeka Sana

Kufikia Agosti 2014, kulikuwa na Mashahidi milioni 8 wa Yehova. Idadi yao imeongezekaje tangu Vita vya Kwanza vya Ulimwengu?

Kampeni ya Ulimwenguni Pote Yatangaza JW.ORG

Mashahidi wa Yehova waligawanya trakti katika mwezi wa Agosti 2014 ili kuchochea upendezi wa watu katika tovuti yao. Kumekuwa na matokeo gani?

Maonyesho ya Pekee ya Biblia Nchini Ufaransa

Wageni waliotembelea Maonyesho ya Kimataifa ya 2014 yaliyofanyika Rouen nchini Ufaransa walijionea maonyesho yenye kuvutia yenye kichwa “Biblia—Jana, Leo, na Kesho.”

Kutumia Tovuti ya JW.ORG Kutangaza Ujumbe wa Biblia

Mashahidi wa Yehova, vijana kwa wazee, wanapenda kutumia tovuti yao iliyo na muundo mpya kuwafikia watu wengi iwezekanavyo na habari njema ya Ufalme wa Mungu.

Kuhubiri Katika Eneo la Mbali​—Australia

Jionee jinsi familia moja ya Mashahidi wa Yehova ilivyotumia juma moja kuwahubiria kweli ya Biblia watu wanaoishi katika eneo la mbali nchini Australia.

Kuhubiri Katika Eneo la Mbali​—Ireland

Familia inaeleza jinsi ambavyo imekuwa na uhusiano wa karibu kwa sababu ya kuhubiri pamoja habari njema katika eneo moja la mbali .

Kuhubiri Kwenye Kingo za Mto Xingu

Kikundi cha Mashahidi kilisafiri kwenye mashua yenye urefu wa mita 15 ili wawahubirie kuhusu Ufalme wa Mungu watu wanaoishi katika vijiji vilivyo kwenye kingo za Mto Xingu.

Wapenda Uhuru Wahudhuria Tamasha la Armada

Mashahidi wa Yehova walitumia vigari vya kukokotwa kugawa machapisho bila malipo, kwa watalii waliohudhuria tamasha la Armada nchini Ufaransa.

Miaka Sabini ya Shule ya Gileadi

Mnamo Februari 1, 1943, darasa la kwanza la shule ya pekee sana lilianzishwa katika sehemu ya kaskazini mwa New York. Shule hiyo imewapa mafunzo maelfu ya wahudumu ili wakawafundishe watu wengine kuhusu Mungu.

Kwa Nini Ujifunze Kibengali?

Kwa nini hivi karibuni Mashahidi wa Yehova 23 huko Queens, New York, Marekani walijifunza kuzungumza na kusoma Kibengali?

Video Fupi: Usipitwe na Hili!

Ona jinsi ambavyo kampeni ya pekee ya kuhubiri ya Manhattan, New York, imewasaidia wengi kupata machapisho yanayozungumzia Biblia.

Jambo Jipya Manhattan, New York

Pata kujua kuhusu mradi wa pekee wa kuwajulisha watu ujumbe wa Biblia.