Hamia kwenye habari

Ndugu Sergey Chechulin na mke wake, Yelena

MACHI 19, 2024
URUSI

HABARI ZA KARIBUNI—WENZI WA NDOA WAHUKUMIWA | ‘Yehova Ndiye Anayenifariji’

HABARI ZA KARIBUNI—WENZI WA NDOA WAHUKUMIWA | ‘Yehova Ndiye Anayenifariji’

Aprili 22, 2024, Mahakama ya Jiji la Kamchatskiy iliyo katika Eneo la Kamchatka ilimhukumu Ndugu Sergey Chechulin na mke wake, Dada Yelena Chechulina. Kila mmoja wao alipokea kifungo cha nje cha miaka miwili. Hawahitaji kwenda gerezani wakati huu.

Maelezo Mafupi Kuwahusu

Kama Sergey na Yelena, sisi pia, tunathamini zawadi kamilifu ya Neno la Mungu kwa kuwa inaturudishia nguvu na inatupatia hekima tunayohitaji ili tubaki tukiwa waaminifu tunapokabili majaribu.​—Zaburi 19:7.

Mfuatano wa Matukio

  1. Septemba 25, 2022

    Kesi ya uhalifu ilifunguliwa

  2. Oktoba 17, 2022

    Nyumba ilifanyiwa msako

  3. Septemba 6, 2023

    Sergey aliwekewa vizuizi vya kusafiri

  4. Septemba 7, 2023

    Yelena aliwekewa vizuizi vya kusafiri

  5. Desemba 26, 2023

    Kesi ya uhalifu ilianza