Majibu ya Maswali 10 Ambayo Vijana Huuliza

Soma mapendekezo na mashauri yatakayokusaidia ufanikiwe maishani.

SWALI LA 1

Mimi Ni Nani?

Kutambua viwango vyako, uwezo, udhaifu, na miradi yako, kunaweza kukusaidia ufanye maamuzi yenye hekima unaposhinikizwa.

SWALI LA 2

Kwa Nini Ninahangaishwa Sana na Jinsi Ninavyoonekana?

Je, unaridhishwa na jinsi unavyoonekana? Ni mambo gani yanayofaa unayoweza kufanya ili uboreshe mwonekano wako?

SWALI LA 3

Ninaweza Kuzungumzaje na Wazazi Wangu?

Mapendekezo haya yanaweza kufanya iwe rahisi zaidi kuzungumza na wazazi wako.

SWALI LA 4

Ninaweza Kurekebishaje Makosa Yangu?

Huwezi kuepuka kufanya makosa—kila mtu hukosea. Ufanye nini unapokosea?

SWALI LA 5

Nifanye Nini Ninapoonewa Shuleni?

Uwezo unao. Unaweza kumshinda mnyanyasaji bila kutumia ngumi.

SWALI LA 6

Nifanye Nini Ninaposhinikizwa na Vijana Wenzangu?

Inaweza kuwa vigumu kwako kutetea jambo unalojua kuwa ni sawa.

SWALI LA 7

Nifanye Nini Ninaposhinikizwa Kufanya Ngono?

Ona baadhi ya madhara ambayo yamewapata vijana waliojihusisha katika matendo mapotovu.

SWALI LA 8

Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kushambuliwa Kingono?

Vijana hasa ndio wanaolengwa. Unaweza kukabilianaje na tatizo hilo?

SWALI LA 9

Je, Niamini Mageuzi?

Ni fundisho lipi linalopatana na akili zaidi?

SWALI LA 10

Biblia Inaweza Kunisaidiaje?

Watu wengi wanasema kwamba Biblia ina hekaya nyingi, imepitwa na wakati, au kwamba si rahisi kueleweka. Mawazo hayo si ya kweli hata kidogo.