Ona video zinazopatikana

Zimetolewa Hivi Karibuni ku Ukurasa wa Kwanza

 

Utachagua Nani ili Akuwe Kiongozi?​—Biblia Inasema Nini?

Hata mwanadamu mwenye anaonekana kuwa na uwezo iko tu na mipaka, lakini kuko Kiongozi moya mwenye anatuhakikishia kama ataendelea kufanya mambo ya muzuri.

Dunia Itaokoka Kabisa?​—Bahari

Bahari zinaweza tena kurudia mu hali ya muzuri?

Namna ya Kupambana na Mukazo

Ona kanuni fulani zenye kufaa zenye zinaweza kukusaidia upambane muzuri na mukazo na pengine hata kuupunguza.

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ngono ya Wanaume kwa Wanaume ao Wanawake kwa Wanawake?

Maoni ya Mungu ni nini kuhusu ngono ya wanaume kwa wanaume ao wanawake kwa wanawake? Mwanaume ao mwanamuke aliye na tamaa ya kufanya ngono na mwenzake anaweza kumupendeza Mungu?

Mungu Njo Anatuleteaka Mateso?

Watu wamedanganywa na mafundisho yenye inamusemea Mungu uongo. Kweli njo ya wapi?

Mambo ya Muzuri Ni Nini na ya Mubaya Ni Nini?

Nini njo inakusaidiaka kujua mambo ya muzuri na ya mubaya? Kuko muongozo wenye unaweza kutumainia?

 

Mutumie Wakati Mingi Pamoya

Kama hawako waangalifu, bibi na bwana wanaweza kuwa na magumu ya kuzungumuza pamoya ijapokuwa wanaishi fasi moya. Wanaweza kufanya nini ili wakuwe wanatumia wakati wao mingi pamoya?

Namna Gani Naweza Kupata Furaha mu Maisha?

Programu yetu ya kujifunza Biblia bila kulipa inaweza kukusaidia.

 

Vita Itaisha Wakati Gani?​—Biblia Inasema Nini?

Hivi karibuni vita yote itaisha. Biblia inafasiria namna vita itaisha.

Armagedoni Itaanzia Israeli?

Biblia Inasema Nini?

 

Sayansi Inapatana na Biblia?

Biblia inafundisha mambo fulani ambayo hayapatane na sayansi?

Mambo ya Kufanya Juu Upate Baraka za Milele za Mungu

Soma juu ujue zile baraka, juu ya nini unaweza kuziamini na namna gani unaweza kuzipata.

Amani na Furaha

Biblia imesaidia watu wengi sana wapiganishe magumu yao ya kila siku, kupunguza mikazo ya kimwili na ya akili, na kuwa na maisha yenye furaha. Biblia inaweza kukusaidia na wewe ukuwe na furaha.

Sayansi na Biblia

Biblia na sayansi vinapatana? Tutajifunza mambo mingi kama tunalinganisha mambo yenye Biblia inasema na mambo yenye wanasayansi wamevumbua.

Ndoa na Familia

Bibi na bwana, na familia wanakutana na magumu mingi. Mashauri ya Biblia inaweza kufanya familia ikuwe na furaha na inaweza kutia nguvu uhusiano kati ya watu wa familia.

Imani Katika Mungu

Imani inaweza kukutia nguvu leo na kukupatia tumaini la kweli juu ya wakati wenye kuja.

Musaada kwa Ajili ya Vijana

Ona namna Biblia inaweza kusaidia vijana wapambane na magumu yenye inawafikia.