Zimetolewa Hivi Karibuni ku Ukurasa wa Kwanza
Kuvuta Tumbako Ni Zambi?
Biblia haizungumuzie kuvuta tumbako, sasa inawezekana namna gani kujibia ile ulizo?
Namna ya Kupata Kweli
Biblia inatoa majibu ya kweli ku maulizo fulani ya maana sana katika maisha.
Mutumie Wakati Mingi Pamoya
Kama hawako waangalifu, bibi na bwana wanaweza kuwa na magumu ya kuzungumuza pamoya ijapokuwa wanaishi fasi moya. Wanaweza kufanya nini ili wakuwe wanatumia wakati wao mingi pamoya?
Usikubali Marafiki Wakudanganye!
Mambo ine yanaweza kukupatia nguvu ya kufanya maamuzi wewe mwenyewe.
Namna Gani Naweza Kupata Furaha mu Maisha?
Programu yetu ya kujifunza Biblia bila kulipa inaweza kukusaidia.
Vita Itaisha Wakati Gani?—Biblia Inasema Nini?
Hivi karibuni vita yote itaisha. Biblia inafasiria namna vita itaisha.
Upiganishe Hali ya Kujisikia Kuwa Peke Yako kwa Kusaidia Bengine
Mashauri ya Biblia inaweza kukusaidia.
Biblia Inasema Nini Kuhusu Ista?
Jifunze namna ambavyo desturi tano za Ista zilianza.
Unaweza Kufanya Nini Juu Zabihu ya Yesu Ikuletee Faida?
Ona mambo mbili ya maana yenye unapaswa kufanya.
Majibu ya Maulizo 5 Kuhusu Mateso
Kujua kweli kunaweza kukusaidia upate kitulizo wakati uko unapambana na musiba.
Kitulizo kwa Wale Wenye Kuwa na Mukazo
Mukazo unaendelea kuongezeka sana. Lakini kuko mambo mingi yenye unaweza kufanya ili kupata kitulizo.
Ni Nani Mungu Alichagua Kuwa Kiongozi?
Katika historia yote, ni mutu mumoja tu njo anastahili kuwa kiongozi wa Ufalme wa Mungu.
Kuko Dawa ya Kumaliza Ubaguzi?
Kupiganisha ubaguzi kunapaswa kuanzia ndani ya moyo na akili yetu. Ona njia tano za kupiganisha ubaguzi.
Sayansi na Biblia
Biblia na sayansi vinapatana? Tutajifunza mambo mingi kama tunalinganisha mambo yenye Biblia inasema na mambo yenye wanasayansi wamevumbua.
Ndoa na Familia
Bibi na bwana, na familia wanakutana na magumu mingi. Mashauri ya Biblia inaweza kufanya familia ikuwe na furaha na inaweza kutia nguvu uhusiano kati ya watu wa familia.
Imani Katika Mungu
Imani inaweza kukutia nguvu leo na kukupatia tumaini la kweli juu ya wakati wenye kuja.
Amani na Furaha
Biblia imesaidia watu wengi sana wapiganishe magumu yao ya kila siku, kupunguza mikazo ya kimwili na ya akili, na kuwa na maisha yenye furaha. Biblia inaweza kukusaidia na wewe ukuwe na furaha.
Musaada kwa Ajili ya Vijana
Ona namna Biblia inaweza kusaidia vijana wapambane na magumu yenye inawafikia.