Majibu ya Maulizo 10 Yenye Vijana Wanajiulizaka

Pata mashauri yenye hekima na mawazo yenye yanaweza kukusaidia kuwa na maisha ya muzuri.

ULIZO LA 1

Mimi Ni Nani?

Kujua kanuni zenye kukuongoza, sifa zako, uzaifu wako, na mipango yako kutakusaidia kukamata maamuzi ya hekima wakati watu wanakukaza kufanya mambo ya mubaya.

ULIZO LA 2

Sababu Gani Ninajihangaisha Sana Juu ya Sura Yangu?

Unahuzunika wakati unajiangalia katika kioo? Ni mabadiliko gani ya muzuri unaweza kufanya?

ULIZO LA 3

Namna Gani Ninaweza Kuzungumuza na Wazazi Wangu?

Mashauri haya yanaweza kufanya mazungumuzo kati yako na wazazi wako yakuwe mwepesi zaidi.

ULIZO LA 4

Nifanye Nini Kama Ninafanya Makosa?

Wakati fulani sisi wote tunafikia kufanya makosa. Tutafanya nini kama tunafanya makosa?

ULIZO LA 5

Nifanye Nini Kama Ninachokozwa Kwenye Masomo?

Haukose nguvu. Unaweza kumushinda mutu mwenye anakuchokoza bila kumupiga.

ULIZO LA 6

Nifanye Nini Kama Wenzangu Wananikaza Kufanya Jambo Fulani?

Inaweza kuwa vigumu kuendelea kushikamana na jambo lenye unajua kwamba ni la muzuri.

ULIZO LA 7

Nifanye Nini Wakinikaza Kufanya Kitendo cha Ndoa?

Fikiria matokeo fulani mabaya yenye vijana walipata kwa sababu ya kuwa na urafiki wa karibu sana na mwanaune ao mwanamuke.

ULIZO LA 8

Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kulalwa Kinguvu?

Zaidi vijana ndio wanabakwa ao kulalwa kinguvu. Namna gani unaweza kupambana na jambo hilo?

ULIZO LA 9

Ninapaswa Kuamini Mageuzi?

Ni mafasirio gani yanapatana na akili?

ULIZO LA 10

Namna Gani Biblia Inaweza Kunisaidia?

Watu wengi wanasema kama Biblia inajaa hadisi za kuwazia, haina faida leo, ao kama ni nguvu kuielewa. Jambo hilo ni uongo kabisa.