Kusaidia Jamii

KUSAIDIA JAMII

Utoaji wa Misaada Baada ya Kimbunga Sandy​—Upendo Waonyeshwa kwa Matendo

Tazama ripoti inayoonyesha jinsi Mashahidi wa Yehova walivyowasaidia waabudu wenzao na watu wengine walioathiriwa na kimbunga kilichosababisha uharibifu mkubwa.

KUSAIDIA JAMII

Utoaji wa Misaada Baada ya Kimbunga Sandy​—Upendo Waonyeshwa kwa Matendo

Tazama ripoti inayoonyesha jinsi Mashahidi wa Yehova walivyowasaidia waabudu wenzao na watu wengine walioathiriwa na kimbunga kilichosababisha uharibifu mkubwa.

Kuwasaidia Viziwi Katika “Zumaridi ya Ikweta”

Elimu inayotegemea Biblia inawasaidia viziwi nchini Indonesia.

Faraja na Msaada kwa Wagonjwa

Mashahidi wa Yehova wanawaonyeshaje waabudu wenzao upendo wanapokabili matatizo makubwa ya afya?

Walimu Nchini Filipino Watambua Manufaa ya JW.ORG

Washauri na walimu zaidi ya 1,000 wamejifunza nini katika tovuti hii?

Jumba la Ufalme Linanufaishaje Jamii Yako?

Soma jinsi majirani walivyohisi kuhusu kuwa na Jumba la Ufalme katika ujirani wao.

Mashahidi Nchini Italia Wawasaidia Majirani Wao

Walihitaji msaada wa aina gani? Mashahidi waliwasaidiaje?

Mashahidi wa Yehova Wasaidia Kusafisha Msitu Karibu na Lviv

Kwa nini wanasaidia kufanya mambo kama hayo katika jamii?

Kuwapa Wazee Faraja na Tumaini

Mashahidi wa Yehova hutembelea makao mawili ya kuwatunzia wazee nchini Australia.

Kampeni Iliyookoa Uhai

Kwa nini Mashahidi wa Yehova walipanga kampeni ya pekee ya kuhubiri ya miezi miwili katika jimbo la Tabasco nchini Mexico? Kampeni hiyo ilikuwa na matokeo gani?

Faraja Katika Mashindano ya Tour de France

Katika kila sehemu ya mashindano ya Tour de France, Mashahidi wa Yehova waliweka vigari vya machapisho ambavyo vilikuwa na ujumbe unaowapa watu tumaini na faraja.

Kuwasaidia Wakimbizi wa Ulaya ya Kati

Wakimbizi hawahitaji tu msaada wa vitu vya kimwili. Mashahidi wanajitolea kuwapa faraja na tumaini kwa kuwaeleza ujumbe wenye kufariji kutoka katika Biblia.

Mashahidi wa Yehova Wasaidia Kurembesha Mandhari ya Jiji la Rostov-on-Don

Jiji la Rostov-on-Don, Urusi, liliwapa Mashahidi wa Yehova barua ya shukrani kwa kushiriki katika kurembesha mandhari ya jiji hilo wakati wa majira ya kuchipua

Vijana Wasaidiwa Kukabiliana na Unyanyasaji Shuleni

Hugo, mwenye umri wa miaka kumi, alipata Tuzo ya Diana kwa kuwasaidia wanafunzi wenzake kukabiliana na unyanyasaji. Kijana huyu alifaulu jinsi gani?

Kuwasaidia Wanafunzi Wafanikiwe Shuleni Nchini Thailand

Mashahidi wa Yehova nchini Thailand walifanya kampeni ya pekee ya kuwasaidia wanafunzi wafanikiwe shuleni. Wenye mamlaka shuleni, walimu, na wazazi walisema nini?

Mashahidi wa Yehova Nchini Hungaria Wapongezwa kwa Kutoa Msaada kwa Sababu ya Mafuriko

Mto Danube ulifikia kilele kipya nchini Hungaria. Mashahidi wa Yehova walishiriki katika kazi ya kuzuia mafuriko iliyopangwa na serikali.

Mzima-Moto Aliye Likizoni Aokoa Uhai

Mzima-moto aitwaye Serge Gerardin, ambaye ni Shahidi wa Yehova nchini Ufaransa, achukua hatua upesi wakati wa aksidenti na kuokoa uhai wa watu.

Mashahidi wa Yehova Wapewa Tuzo kwa Kuwasaidia Wafungwa

Mashahidi tisa wa Yehova wametoa huduma gani bora kwa wafungwa wa gereza moja kubwa nchini Australia?

JW.ORG​—Inabadili Maisha ya Watu

Watu wenye hali na malezi mbalimbali wanaeleza jinsi ushauri hususa unaotegemea Biblia unaopatikana kwenye jw.org unavyowasaidia kuishi maisha bora.

Mashahidi wa Yehova Waelimisha Wazazi na Watoto Kuhusu Kutendewa Vibaya Kingono

Kwa miaka mingi, Mashahidi wa Yehova wamechapisha na kusambaza habari muhimu zinazosaidia familia kuwa na mahusiano mazuri.

Mafundisho ya Biblia Yanatusaidia Kuacha Ubaguzi

Mashahidi wa Yehova wanaamini kwamba watu wa jamii zote ni sawa machoni pa Mungu.

Kimbunga Nchini Filipino​—Imani Iliwawezesha Kushinda Matatizo

Waokokaji wanasimulia kilichotokea Kimbunga Haiyan kilipoipiga Filipino.

Mafuriko Katika Jimbo la Alberta

Mashahidi wa Yehova walitoa msaada gani kwa ajili ya watu walioathiriwa na mafuriko kule Alberta, Kanada?

Kitabu cha Hadithi za Biblia Chatumiwa Shuleni

Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia kinawasaidia maelfu ya watoto shuleni huko Ufilipino wanaozungumza lugha ya Pangasinan. Jinsi gani?

Nilitoka Gerezani Nikapata Maisha Bora Kabisa

Donald, aliyekuwa mfungwa, anaeleza jinsi kujifunza Biblia kumemsaidia kumjua Mungu, kufanya mabadiliko maishani, na kuwa mume mzuri zaidi.

Azuiwa Asijiue Kwenye Mnara Uitwao Sky Tower

Shahidi wa Yehova mwenye umri wa miaka 80 alifaulu kumshawishi mtu asijirushe kutoka kwenye mnara uitwao Sky Tower nchini New Zealand.

Kuwasaidia Wafungwa

Ona jinsi kweli za Biblia zinavyolainisha mioyo ya wafungwa na hatimaye wanabadilika na kuwa watu wazuri.

Mashahidi wa Yehova Wametunukiwa Tuzo ya Utunzaji wa Mazingira

Viwanda yanavyosimamiwa na Mashahidi wa Yehova nchini Mexico, vilitunukiwa cheti cha kuhifadhi mazingira yakiwa safi kwa mwaka wa saba mfululizo.

Kubadili maisha ya wafungwa

Mashahidi wa Yehova nchini Hispania wanajifunza Biblia na wafungwa 600. Ona jinsi ambavyo elimu hii ya Biblia ilivyobadili maisha ya mfungwa mmoja.

Upendo Unatuchochea Kusaidia Majanga Yanapotokea

Katika nchi nyingi, Mashahidi wa Yehova wanatoa misaada wakati wa shida.

Waokolewa Wasijiue

Matukio halisi kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu yanayotoa faraja na tumaini.

“Kwa Kweli Ninyi Ni Mfano Mzuri!”

Baada ya mafuriko yenye kuleta uharibifu huko Italia, wafanyakazi wa kujitolea waliondoa matope na vifusi.

Mashahidi wa Yehova Wanawapa Wafungwa Msaada wa Kiroho

Mashahidi wa Yehova wanawafikiaje wale walio katika vituo vya kurekebisha tabia ambao wangependa kupokea msaada wa kiroho?

Maelfu Wanajifunza Kusoma na Kuandika

Soma kuhusu watu kutoka sehemu mbalimbali ulimwenguni pote ambao wamefaidika kutokana na madarasa ya kujifunza kusoma na kuandika yaliyopangwa na Mashahidi wa Yehova.