Taarifa Fupi—Kongo, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
- 98,152,000—Idadi
- 257,672—Wahudumu Wanaofundisha Biblia
- 4,385—Makutaniko
- 1 kwa 402—Uwiano wa Mashahidi wa Yehova kwa kulinganishwa na idadi ya watu nchini
JINSI MICHANGO YAKO INAVYOTUMIWA
Kutoa Msaada Katika 2021—Hatuwaachi Ndugu na Dada Zetu
Katika mwaka wa 2021, nchi nyingi zilihitaji msaada, si wa kukabiliana na COVID-19 peke yake, bali pia misiba mingine mikubwa.
TAARIFA ZA HABARI
Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo Yatolewa Katika Lugha ya Kipende
TAARIFA ZA HABARI
Ndugu Kaskazini-Mashariki mwa Kongo Wakimbia Vita
Licha ya kupoteza makao, Mashahidi wa Yehova waliokimbia wanakutana kwa ajili ya ibada na wanashiriki kwa bidii tumaini lao linalotegemea Biblia.
TAARIFA ZA HABARI
Mashahidi wa Yehova Watoa Msaada kwa Watu Walioathiriwa na Vita Nchini Kongo
Mashahidi wa Yehova wanatoa misaada na kuwategemeza kiroho waabudu wenzao walioathiriwa na vita vinavyoendelea katika eneo la Kasai katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
KAZI YA UCHAPISHAJI
Usambazaji wa Machapisho ya Biblia Nchini Kongo
Mashahidi wa Yehova wanasafiri mbali ili kusambaza Biblia na machapisho yanayotegemea Biblia kwa watu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.