Hamia kwenye habari

BIBLIA INABADILI MAISHA

Johny na Gideon: Walikuwa Maadui, Sasa Ni Ndugu

Johny na Gideon: Walikuwa Maadui, Sasa Ni Ndugu

Ubaguzi wa rangi ulimfanya Johny na Gideon wawe katika upande tofauti kuhusu sera ya kuwatenganisha watu. Jifunze jinsi walivyokabiliana na hali hiyo baada ya kipindi hicho cha ubaguzi wa rangi kwisha nchini Afrika Kusini.