Imani ya Kweli—Siri ya Kuwa na Maisha Yenye Furaha

Broshua hii inaeleza jinsi kuimarisha imani kunavyoweza kuwasaidia watu kutoka mataifa mbalimbali wawe na furaha.

UTANGULIZI

Utangulizi

Mamilioni ya watu wamepata majibu yenye kuridhisha kwa maswali haya.

SEHEMU YA 1

Je, Mungu Anatujali?

Ulimwengu wa leo umejaa matatizo. Huenda wewe pia unakabili mahangaiko kila siku. Ni nani anayeweza kutusaidia? Kuna yeyote anayetujali?

SEHAMU YA 2

Imani ya Kweli Ni Nini?

Mamilioni ya watu wanaamini kuna Mungu lakini wanatenda maovu kimakusudi. Kwa hiyo bila shaka imani ya kweli inahusisha mengi zaidi ya kuamini tu kwamba kuna Mungu.

SEHEMU YA 3

Mashauri Yenye Hekima Yanayoboresha Maisha

Maandiko Matakatifu yana ushauri wenye hekima ambao unaweza kukusaidia kutatua matatizo katika ndoa, kudhibiti hasira, kushinda mazoea ya kutumia dawa za kulevya, kushinda ubaguzi, kuacha jeuri na mengineyo.

SEHEMU YA 4

Mungu Ni Nani?

Watu wanaabudu miungu mingi, lakini Maandiko Matakatifu yanafundisha kwamba kuna Mungu mmoja tu wa kweli.

SEHEMU YA 5

Kuthamini Sifa za Mungu Zisizo na Kifani

Maandiko Matakatifu hufunua sifa nyingi nzuri za Mungu na kutusaidia kumjua.

SEHEMU YA 6

Mungu Ana Kusudi Gani kwa Dunia?

Maandiko Matakatifu yanasema kwamba Mungu hakuiumba dunia “bila sababu” bali “ili ikaliwe na watu.” Lakini je, Mungu alikusudia hali ziwe jinsi zilivyo leo?

SEHEMU YA 7

Mambo Ambayo Mungu Aliahidi Kupitia Manabii

Baraka kwa mataifa yote ya dunia!

SEHEMU YA 8

Masihi Atokea

Maandiko yana rekodi ya maisha na mafundisho yake.

SEHEMU YA 9

Kujifunza Kutoka kwa Masihi Kiongozi

Mungu anajua ni kiongozi wa aina gani tunayehitaji naye alimchagua Kiongozi bora zaidi.

SEHEMU YA 10

Kumfunua Adui wa Imani

Malaika ageuka na kuwa mpinzani wa Mungu.

SEHEMU YA 11

Kuonyesha Imani ya Kweli Leo

Yesu alifundisha kwamba watu wenye imani ya kweli watatokeza “matunda mazuri,” au sifa nzuri. Ni zipi baadhi ya sifa hizo?

SEHEMU YA 12

Onyesha Kwamba Una Imani ya Kweli!

Unaweza kuchukua hatua gani?

SEHEMU YA 13

Imani ya Kweli Huongoza Kwenye Furaha ya Milele

Maandiko yana ahadi nzuri inayokuhusu wewe.