Masimulizi ya Maisha ya Mashahidi wa Yehova

Ulimwenguni pote, wanaume na wanawake wametanguliza ibada ya Yehova maishani mwao. Masimulizi yao yatakutia moyo na kuimarisha imani yako.

MILES NORTHOVER

Yehova Alithawabisha Kazi ya Mikono Yangu

Kujifunza lugha ya ishara kulimsaidia Miles kuamua jinsi ya kutumia maisha yake. Anasimulia shangwe aliyopata maishani mwake kwa kujitoa katika kazi ya kuwasaidia viziwi nchini Uingereza kwa zaidi ya miaka hamsini.

IRMA BENTIVOGLI

Kumtumikia Mpaji wa “Kila Zawadi Njema”

Ingawa bado anakumbuka mambo mabaya yaliyotukia wakati wa Vita vya Pili vya Ulimwengu, Irma anashukuru kwa zawadi za kiroho ambazo amepata, kama vile watu waliomwekea kielelezo kizuri na utumishi wa Betheli.

Masimulizi ya Maisha Katika Magazeti Yetu

Pata viunganishi vya mamia ya masimulizi ya maisha ya Mashahidi wa Yehova yaliyochapishwa katika Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Tangu 1955.

ASTER PARKER

Nilitaka Kumtumikia Yehova Kikamili

Tangu alipokuwa mdogo, Aster aliipenda kweli. Imani yake ilijaribiwa alipofungwa gerezani wakati wa machafuko ya kisiasa nchini Ethiopia. Aster alitumikia Betheli jijini New York na baadaye yeye na mume wake waliwalea wana wao watatu.

JAY CAMPBELL

Niliinuliwa Kutoka Ardhini Nikakwezwa Kwa Njia Ambayo Sikutazamia

Jay alipata ulemavu alipokuwa mtoto na pia walikuwa maskini na hata hakuweza kwenda shule. Licha ya changamoto hizo zote, amewasadia watu watatu kufikia ubatizo na anaendelea kuhubiri kwa bidii.

TAPANI VIITALA

Kutimiza Tamaa Yangu ya Kuwasaidia Viziwi

Tapani alitembelea sehemu mbalimbali nchini Finland, Estonia, Latvia, na Lithuania, akiwahubiria viziwi habari njema. Sasa, zaidi ya miaka 60 imepita tangu alipobatizwa na bidii yake bado inawaka!

PHYLLIS LIANG

Yehova Amebariki Utayari Wangu

Phyllis ametumikia katika migawo mbalimbali. Utayari wake wa kubadilikana na hali na kukabili changamoto umemletea baraka nyingi, nyakati nyingine katika njia ambazo hakutarajia.

ELFRIEDE URBAN

Maisha Yenye Kuridhisha ya Umishonari

Elfriede alitimiza ndoto yake ya utotoni ya kuwa mmishonari. Sasa zaidi ya miaka 55 baadaye, anaendelea kuwafundisha watu kumhusu Yehova licha ya nyakati za taabu na hali kubadilika.

CAMILLA ROSAM

Kumtii Yehova Ndilo Jambo Muhimu Zaidi Maishani Mwangu

Camilla na mume wake, Eugene, walitanguliza kumpenda Yehova na kumtii yeye na pia tengenezo lake, maishani mwao.

DAVID MAZA

Familia Yenye Furaha Yatikiswa na Kuwa Imara Tena

Safari ndefu na yenye taabu ya familia moja inawachochea wengine kuwa na tumaini na uhakika katika Yehova.

JESÚS MARTÍN

“Yehova Aliniokoa Nilipokabili Hali Ngumu Zaidi Maishani Mwangu”

Baada ya kutumikia miaka mingi akiwa peke yake gerezani katika chumba chenye baridi na giza, Jesús alifurahia kwa miaka mingi kazi yenye kuridhisha ya utumishi wa wakati wote, na alijifunza kutegemea nguvu za Yehova.

DORINA CAPARELLI

Licha ya Kuwa na Haya, Ikiwa Ningepewa Nafasi Nyingine Nisingebadili Chochote!

Dorina ametumikia akiwa painia wa kawaida, painia wa pekee, katika kazi ya mzunguko na ya wilaya, na akiwa Mwanabetheli. Anasimulia kuhusu miaka 70 hivi ya utumishi wa wakati wote na jinsi ambavyo Yehova amemsaidia na kumbariki.

MILTIADIS STAVROU

“Tumejionea Yehova Akitutunza na Kutuongoza”

Milto na mke wake Doris walikabili changamoto nyingi na pindi nyingi ambazo hawakujua watakabili hali zipi walipokuwa katika mgawo wao wa umishonari katika Mashariki ya Kati. Hali hizo ziliwafanya wasijitegemee bali wamtegemee Yehova Mungu kikamili.

DAYRELL SHARP

Kwa Nguvu za Mungu Haturudi Nyuma

Licha ya hali ngumu, Dayrell na Susanne Sharp waliwasaidia zaidi ya watu 130 kufanya maendeleo na kubatizwa.

GEORGIY PORCHULYAN

“Kumpenda Yehova Kumenitegemeza Maishani”

Jitihada yake ya kutafuta haki na amani ya akili ilimwongoza kuwa Shahidi wa Yehova. Upendo wake kwa Yehova ulimtegemeza alipokuwa katika kambi ya kazi ngumu na alipokuwa uhamishoni na ulimpatia nguvu na kumtunza mke wake mpendwa.

Masimulizi ya Maisha Katika Magazeti Yetu

Pata viunganishi vya mamia ya masimulizi ya maisha ya Mashahidi wa Yehova yaliyochapishwa katika Mnara wa Mlinzi na Amkeni! Tangu 1955.

DORINA CAPARELLI

Licha ya Kuwa na Haya, Ikiwa Ningepewa Nafasi Nyingine Nisingebadili Chochote!

Dorina ametumikia akiwa painia wa kawaida, painia wa pekee, katika kazi ya mzunguko na ya wilaya, na akiwa Mwanabetheli. Anasimulia kuhusu miaka 70 hivi ya utumishi wa wakati wote na jinsi ambavyo Yehova amemsaidia na kumbariki.

PHYLLIS LIANG

Yehova Amebariki Utayari Wangu

Phyllis ametumikia katika migawo mbalimbali. Utayari wake wa kubadilikana na hali na kukabili changamoto umemletea baraka nyingi, nyakati nyingine katika njia ambazo hakutarajia.

ASTER PARKER

Nilitaka Kumtumikia Yehova Kikamili

Tangu alipokuwa mdogo, Aster aliipenda kweli. Imani yake ilijaribiwa alipofungwa gerezani wakati wa machafuko ya kisiasa nchini Ethiopia. Aster alitumikia Betheli jijini New York na baadaye yeye na mume wake waliwalea wana wao watatu.

MILES NORTHOVER

Yehova Alithawabisha Kazi ya Mikono Yangu

Kujifunza lugha ya ishara kulimsaidia Miles kuamua jinsi ya kutumia maisha yake. Anasimulia shangwe aliyopata maishani mwake kwa kujitoa katika kazi ya kuwasaidia viziwi nchini Uingereza kwa zaidi ya miaka hamsini.

JESÚS MARTÍN

“Yehova Aliniokoa Nilipokabili Hali Ngumu Zaidi Maishani Mwangu”

Baada ya kutumikia miaka mingi akiwa peke yake gerezani katika chumba chenye baridi na giza, Jesús alifurahia kwa miaka mingi kazi yenye kuridhisha ya utumishi wa wakati wote, na alijifunza kutegemea nguvu za Yehova.

DAVID MAZA

Familia Yenye Furaha Yatikiswa na Kuwa Imara Tena

Safari ndefu na yenye taabu ya familia moja inawachochea wengine kuwa na tumaini na uhakika katika Yehova.

GEORGIY PORCHULYAN

“Kumpenda Yehova Kumenitegemeza Maishani”

Jitihada yake ya kutafuta haki na amani ya akili ilimwongoza kuwa Shahidi wa Yehova. Upendo wake kwa Yehova ulimtegemeza alipokuwa katika kambi ya kazi ngumu na alipokuwa uhamishoni na ulimpatia nguvu na kumtunza mke wake mpendwa.

CAMILLA ROSAM

Kumtii Yehova Ndilo Jambo Muhimu Zaidi Maishani Mwangu

Camilla na mume wake, Eugene, walitanguliza kumpenda Yehova na kumtii yeye na pia tengenezo lake, maishani mwao.

DAYRELL SHARP

Kwa Nguvu za Mungu Haturudi Nyuma

Licha ya hali ngumu, Dayrell na Susanne Sharp waliwasaidia zaidi ya watu 130 kufanya maendeleo na kubatizwa.

MILTIADIS STAVROU

“Tumejionea Yehova Akitutunza na Kutuongoza”

Milto na mke wake Doris walikabili changamoto nyingi na pindi nyingi ambazo hawakujua watakabili hali zipi walipokuwa katika mgawo wao wa umishonari katika Mashariki ya Kati. Hali hizo ziliwafanya wasijitegemee bali wamtegemee Yehova Mungu kikamili.

ELFRIEDE URBAN

Maisha Yenye Kuridhisha ya Umishonari

Elfriede alitimiza ndoto yake ya utotoni ya kuwa mmishonari. Sasa zaidi ya miaka 55 baadaye, anaendelea kuwafundisha watu kumhusu Yehova licha ya nyakati za taabu na hali kubadilika.

JAY CAMPBELL

Niliinuliwa Kutoka Ardhini Nikakwezwa Kwa Njia Ambayo Sikutazamia

Jay alipata ulemavu alipokuwa mtoto na pia walikuwa maskini na hata hakuweza kwenda shule. Licha ya changamoto hizo zote, amewasadia watu watatu kufikia ubatizo na anaendelea kuhubiri kwa bidii.

TAPANI VIITALA

Kutimiza Tamaa Yangu ya Kuwasaidia Viziwi

Tapani alitembelea sehemu mbalimbali nchini Finland, Estonia, Latvia, na Lithuania, akiwahubiria viziwi habari njema. Sasa, zaidi ya miaka 60 imepita tangu alipobatizwa na bidii yake bado inawaka!

Samahani, hakuna maneno yanayopatana na unachotafuta.