Hamia kwenye habari

JIFUNZE KUTOKA KWA RAFIKI ZA YEHOVA

Hanania, Mishaeli, na Azaria

Hanania, Mishaeli, na Azaria

Tumieni zoezi hili lililochapishwa ili kujifunza kutoka kwa rafiki za Yehova—Hanania, Mishaeli, na Azaria.

Wazazi someni Danieli 1:3-7 pamoja na watoto wenu na mistari inayofaa kwenye sura ya 3 kisha mzungumze kuihusu.

Pakua na uchapishe zoezi hili.

Kateni picha za wahusika kwenye ukurasa wa kwanza kisha mfuate mwongozo wa kuunganisha karatasi ya kujiinua na kujikunja kwenye ukurasa wa pili. Mnapofanya hivyo pamoja, jibuni maswali yaliyo kwenye video.