MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Februari 2024

Toleo hili lina makala za funzo za Aprili 8–Mei 5, 2024.

MAKALA YA 5

‘Sitakutupa Kamwe’!

Tutajifunza makala hii katika juma la Aprili 8-14, 2024.

MAKALA YA 6

“Lisifuni Jina la Yehova”

Tutajifunza makala hii katika juma la Aprili 15-21, 2024.

MAKALA YA 7

Mambo Tunayoweza Kujifunza Kutoka kwa Wanadhiri

Tutajifunza makala hii katika juma la Aprili 22-28, 2024.

MAKALA YA 8

Endelea Kufuata Mwongozo wa Yehova

Tutajifunza makala hii katika juma la Aprili 29–​Mei 5, 2024.

Uwe Mwenye Furaha Unapomngojea Yehova kwa Subira

Watu wengi wanahisi wamelemewa na hali za mfumo huu wanapoendelea kumngojea Yehova atende kwa wakati wake uliowekwa. Ni nini kinachoweza kutusaidia kumngojea na kuwa na furaha huku tukingoja?

Washiriki Wapya Wawili wa Baraza Linaloongoza

Jumatano, Januari 18, 2023, ilitangazwa kwamba Ndugu Gage Fleegle na Jeffrey Winder walikuwa wamewekwa rasmi kutumikia wakiwa washiriki wa Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Biblia inafunua nini kuhusu uwezo wa Yehova wa kutabiri wakati ujao?

Je, Wajua?

Fikiria sababu tatu zilizowachochea waandikaji wa Biblia wafanye hivyo.