MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Desemba 2023

Toleo hili lina makala za funzo za Februari 5–Machi 3, 2024.

MAKALA YA 50

Imani na Matendo Yanaweza Kuongoza Kwenye Uadilifu

Tutajifunza makala hii katika juma la Februari 5-11, 2024.

MAKALA YA 51

Furahia Tumaini Lisilokatisha Tamaa

Tutajifunza makala hii katika juma la Februari 12-18, 2024.

Fuata Mwongozo wa Mungu Kuhusu Kileo

Huenda baadhi ya watu wakaamua kunywa kileo kwa kiasi na wengine wakaamua kutotumia kileo. Ni nini kinachoweza kumsaidia Mkristo aepuke matatizo yanayoweza kutokea kwa sababu ya kunywa kileo?

MAKALA YA 52

Akina Dada Vijana​—⁠Mnawezaje Kuwa Wakristo Wakomavu?

Tutajifunza makala hii katika juma la Februari 19-25, 2024.

MAKALA YA 53

Akina Ndugu Vijana​—⁠Mnawezaje Kuwa Wakristo Wakomavu?

Tutajifunza makala hii katika juma la Februari 26–​Machi 3, 2024.

Je, Unakumbuka?

Je, umesoma kwa makini matoleo ya Mnara wa Mlinzi ya hivi karibuni? Ona ikiwa unakumbuka.

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2023

Fahirisi ya makala zote za mwaka wa 2023 za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! zikiwa zimeorodheshwa kulingana na vichwa.

Jambo Lililoonwa

Dada mmoja alionyeshaje huruma kwa kutafuta nafasi za kuwatolea wengine ushahidi?