Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

AMKENI! Na. 2 2020 | Maswali Matano Kuhusu Kuteseka Yajibiwa

Kila mmoja wetu ameathiriwa kwa kadiri fulani na matatizo makubwa kama vile ugonjwa, aksidenti, majanga ya asili au kutendewa kwa jeuri.

Watu wanahangaika kutafuta majibu.

  • Baadhi ya watu wanaamini kwamba kuteseka ni mipango ya Mungu au wanahisi hatuwezi kuzuia mambo yanayotupata.

  • Wengine wanaamini tunateseka kwa sababu ya mambo tuliyofanya zamani kabla ya kuzaliwa upya.

Matatizo makubwa yanapotokea, watu hujiuliza maswali mengi sana.

Mambo Ambayo Baadhi ya Watu Huamini

Soma maoni ya dini mbalimbali kuhusu sababu ya kuteseka.

1 Je, Tunapaswa Kumlaumu Mungu Tunapoteseka?

Watu wengi wamefundishwa mambo yasiyo ya kweli kumhusu Mungu. Ukweli ni nini?

2 Je, Tunapaswa Kujilaumu Tunapoteseka?

Ikiwa jibu ni ndiyo, basi huenda tunaweza kupunguza matatizo tunayokabili.

3 Kwa Nini Watu Wanaotenda Mema Wanateseka?

Biblia inatusaidia kupata jibu la swali hilo.

4 Je, Mungu Alikusudia Wanadamu Wateseke?

Je, inawezekana kwamba Mungu aliyeumba vitu vingi vizuri alikusudia wanadamu wateseke? Ikiwa sivyo, matatizo yalianzia wapi?

5 Je, Kuteseka Kutakwisha?

Biblia inatueleza jinsi Mungu atakavyoondoa matatizo.

Unaweza Kupata Msaada

Ingawa matatizo yetu yanaonekana kuwa hayana suluhisho, kuna mwongozo wenye kutegemeka ambao unaweza kutusaidia.