Ona video, muziki, makala, na habari zilizoongezwa hivi karibuni.

Ni Nini Kipya?

Tuma Ombi la Kutembelewa na Mashahidi wa Yehova

Unaweza kujifunza habari fulani inayotegemea Biblia au ushiriki mpango wa kujifunza Biblia bure pamoja na Mashahidi wa Yehova.

Mikutano ya Kutaniko ya Mashahidi wa Yehova

Tafuta mahali tunapokutana na jinsi tunavyoabudu.

Mashahidi wa Yehova—Sisi Ni Akina Nani?

Sisi ni watu kutoka katika mamia ya makabila, lakini waliounganishwa kwa malengo yaleyale. Zaidi ya yote, tunataka kumtukuza Yehova, Mungu wa Biblia, Muumba wa vitu vyote. Tunajitahidi kumwiga Yesu Kristo nasi tunaiona kuwa heshima kubwa kuitwa Wakristo. Kila mmoja wetu hutenga wakati wa kuwasaidia watu wajifunze Biblia na Ufalme wa Mungu. Kwa sababu tunatoa ushahidi, au tunazungumza na watu kuhusu Yehova Mungu na Ufalme wake, tunaitwa Mashahidi wa Yehova.

Chunguza tovuti yetu. Isome Biblia kwenye mtandao. Pata kujua mengi kuhusu imani zetu.

 

Mashahidi wawili wa Yehova wakimhubiri mwanamume kwenye eneo lenye mchele.