Ukumbusho wa Kifo cha Yesu

Mara moja kila mwaka katika maelfu ya maeneo ulimwenguni pote, tunakumbuka kifo cha Yesu. Tunafanya hivyo kwa kuwa aliwaamuru wafuasi wake hivi: “Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.” (Luka 22:19)