MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 2, 2024

Hii gazeti iko na habari za kujifunza tarehe 8/4–5/5, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 5

“Sitakutupa Hata Kidogo”!

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 8-14/4, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 6

“Musifu Jina la Yehova”

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 15-21/4, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 7

Mufano wa Wanaziri Unaweza Kutufundisha Nini?

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 22-28/4, 2024.

HABARI YA KUJIFUNZA YA 8

Endelea Kufuata Muongozo wa Yehova

Habari ya kujifunza mu juma ya tarehe 29/4–5/5, 2024.

Uendelee Kuwa na Furaha Wakati Uko Namungojea Yehova kwa Uvumilivu

Wengi wanajisikia kuwa ulimwengu huu unawachokesha wakati wako nangojea Yehova atende kwa wakati wenye ameweka. Ni nini inaweza kufanya ikuwe mwepesi zaidi kungojea na kutusaidia tuendelee kuwa na furaha wakati tuko naongojea?

Ndugu Wawili Wapya wa Baraza Yenye Kuongoza

Siku ya Tatu, tarehe 18, Mwezi wa 1, 2023, ilitangazwa kuwa Ndugu Gage Fleegle na Jeffrey Winder waliwekwa ili kutumikia mu Baraza Yenye Kuongoza ya Mashahidi wa Yehova.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Biblia inasema nini kuhusu uwezo wa Yehova wa kutabiri wakati wenye kuya?

Ulijua?

Ona mambo tatu yenye pengine ilichochea waandikaji wa Yehova wafanye vile.