Ona video zinazopatikana

Musaada wa Kujifunza

Chukua musaada moja na uutumie pamoja na kitabu Biblia Inafundisha Kabisa Nini? Chunguza mambo unaamini, chunguza mambo Biblia inafundisha, na ujifunze namna ya kutetea imani yako.

SURA YA 4

Yesu Kristo Ni Nani? (Sehemu ya 1)

Namna gani unaweza kujibia mutu mwenye anasema kwamba Yesu alikuwa muzuri tu?

SURA YA 18

Ubatizo ni Hatua Inayomuongoza Mutu Kwenye Uhusiano Muzuri Pamoja na Mungu (Sehemu ya 1)

Sababu gani ubatizo ni jambo lenye linaombwa kwa Wakristo? Ni nini inaweza kuchochea Wakristo kubatizwa?

SURA YA 18

Ubatizo Ni Hatua Inayoongoza Mutu Kwenye Uhusiano Muzuri Pamoja na Mungu (Sehemu ya 3)

Mukristo mwenye kujitoa kwa Mungu anatazamiwa kutimiza nini? Na sababu gani watu wenye kupenda Mungu kabisa wanaweza kuwa hakika kwamba wataishi kulingana na ahadi yao ya kutumikia Mungu?